Nguo za mtumba ambazo zinaweza kukuletea madhara makubwa

Nguo za mtumba ambazo zinaweza kukuletea madhara makubwa

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Kulingana na hali ya kiuchumi katika jamii kwa ujumla swala la nguo za mtumba haliepukiki,

Tangu tulipokuwa wadogo tumekuwa tukivaa nguo za mtumba na maisha yanasonga kama kawaida,

Pamoja na ukweli kwamba nguo hizi za mtumba haziepukiki kwa sababu bei zake ni rafiki kwetu, kuna baadhi ya nguo tunaweza kujitahidi kununua ambazo si za mtumba kama ifuatavyo,

1. SIDIRIA/BRAZIER

2. BOXER/CHUPI ZA KIUME NA ZA KIKE

3. SOCKS

4. SKIN TIGHT/NGUO ZINAZOBANA MWILI

Unaweza kuendelea kununua nguo za mtumba lakini jitahidi kuepuka kuvaa nguo za mtumba ambazo nimeziorodhesha hapo juu.


images (15).jpg
images (14).jpg
images (13).jpg
71VdDs-IdXL._AC_SL1500_.jpg
images (12).jpg
images (10).jpg
 

Attachments

  • images (11).jpg
    images (11).jpg
    5.3 KB · Views: 6
Sio kwamba huwa wanazitreat kabla ya kuzileta Africa ? Au pia jinsi tunavyofua bacteria na virusi si vinakufa kwa sabuni ?
 
Bila mtumba kuna watu wengekuwa wanatembea uchi barani Africa . Jamboo lapekee la kuzingatia fua na piga pasi kabla ya kuvaa ,kama sehemu ya kujihakikishia usalama wako otherwise madhara ni madogo kuliko mtumba usingekuwepo kabisa .Ukiwa umetembelea maeneo mbalimbali yenye baridi kali na akakutana na wazee na watoto wapiga mtumba tena kwa bei chee ndio utaona umuhimu wa mtumba hasa hasa ukizingatia baadhi ya vipato vya watu .
 
Back
Top Bottom