Nguo za ndani zinapaswa kufuliwa baada ya kuvaliwa mara ngapi?

Nguo za ndani zinapaswa kufuliwa baada ya kuvaliwa mara ngapi?

Hivi shule zimefungwa tena?

Post sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Kwa mwanaume anayejitambua na anayetambua kuwa usafi ni sehemu ya afya ya mwili wake.....

Boxer au nguo ya ndani inatakiwa kufuliwa baada ya kuvuliwa....na uvaaji wake usizidi siku moja.....

Pia unatakiwa uwe na nyingi zaidi ili uwe huru katika kuvaa.....

Sio kama wale vijana wanavaa mpaka inasimama dede....
73b2c755a00edcd7124f5f0972adb9ce.jpg
7db5ca915681aa3f8767403e40a22d07.jpg
863869563dae1e5cef63b782ff100c6c.jpg
6b54311d7a3ca631f3f87ba56508a302.jpg
137aa3b4c136a8c534900cfb252a76b7.jpg
 
Ni baada ya siku ngapi au week ngapi chupi au kwa wanaume boxer inatakiwa kufuliwa baada ya kuvaliwa?
Siku moja tu tena kila unapooga[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
This is intresting but very very serious...[emoji2] [emoji2]
 
kila unapovua na kwenda kuoga. . . yaani ukishaoga hupaswi kurinyu!!
 
Back
Top Bottom