Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Maji fresh tu ya kawaida...nipo DarMaji gani unafulia? Ya chumvi au fresh water?? Upo mkoa gani?
Hapana natumia ya kawaida tu...ya bomba hayana chumvi wala magadi...HAYO NI MAJI YA MAGADI UNATUMIA
Maji ya Dar sio fresh hun.Maji fresh tu ya kawaida...nipo Dar
We unatumia?Tumia Maji Kilimanjaro Kubwa
Ni nini sa mtindi au[emoji81] (jokin)...haya but me natumia hayo ya Dar ya bomban ya kawaida tu...Maji ya Dar sio fresh hun.
Habari zenu jamani....
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...
Hapana huwa sisomi...lets say zingne haziruhusu kufuliwa kwa mkono ila jaman ndo nguo zoteeee ninazonunua mm ziwe na mushkeli...BTW zingne hazina label e.g khanga...Huwa unasoma maelekezo kwenye lebo [za nguo] jinsi/ namna ya kusafisha?
Haya ntakuletea....Peleka kwa dobi
Umeshawahi kuchepuka hivi karibuni??Habari zenu jamani....
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...
[emoji1] hapana...Umeshawahi kuchepuka hivi karibuni??
inabidi uchepuke sasa[emoji1] hapana...
We unachepuka?inabidi uchepuke sasa
Zinatakata but crdhk ad nione povu....na kama nguo ina lets say doa(la muda huo huo...au muda mfup) had ntumie sabun nyngiii but still povu linatoka la kichoyoHuwa hazitakati?
Anha ila hata sio fund garage mieKama ni fundi geleji lazima iwe hivyo oil husababisha nguo zisishike sabuni