Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Maneno mjarabu
 
For years Ina aminika kua U PADRI Ni wito....Na for years mchujo wa mtu mpaka kua PADRI sio lele mama.....kuanzia ELIMU, MALEZI....N.K

Japo mm sio mkatoliki Ila nikili wazi
Kuna watu wengi
smart Sana kwenye kanisa katoliki....

Alafu kanisa katoliki For years huwa halikulupuki kwenye Mambo yake.... Sizani Kama ni busara Sana kumtolea maneno askofu Rwaichi....

Binafsi Kuna tabia za JPM ambazo hata mm ninazo Kupitia hizo tabia huwa naona hata nisipo kuja KUA kiongozi atleast Kuna mtu amekua na maono Kama yangu Ni wazi nampenda Jpm Ni Jembe toka kanda ya ziwa....

Tuseme wazi kua Ni Mara nyingi JPM kwenye kauli zake anateleza.... Ni wazi kweny Speech hayupo vizuri Mara nyingi kauli zake zinaleta contradiction...
KWENYE kukosoa tukosoe kweny kupongeza tupongeze.....
 
Akili za kushikiwa hizi.
Sawa bro mimi ni mpinzani lakini sio kila kitu cha kupinga ila kwa habari ya corona mimi nipo na Magu

Kama wewe unajiona upo katika hatari jifungie ndani, tumemaliza vyuo hatuna ajila, tunajiajili watu wengine mnataka tufungiwe ndani ilitufe kwa stress, hapa jf tupo jamii ya watu tofauti wengine mboga saba ( hawajui kulala na njaa) na wengine ni sisi njaa kali kukikucha ndo kula kwetu ukilala ndani mambo yote yanasimama
Nb: sijawai kuwa CCM nasizani kama naweza nikawa CCM maendeleo hayana chama
 
Jamani inabidi tuwe na akili ya kujiongeza. Watu wakiamua kufanya faulo kwa kutumia Barakoa, hawafanyi ki-layman kama unavyofikiria wewe. Wanafanya kwa kutumia teknolojia mpya ambayo inaweza kuwa haipo mahali popote pale kwa sasa. Kwa hiyo kitakachotokea ni kwamba bidhaa itaingia nchini na mamlaka za udhibiti kwa kutumia teknolojia yake itazikagua bidhaa hizo lakini itakuta kuwa hazina madhara, ziko kawaida. Bidhaa hizi zitaonyesha kuwa hazina tatizo lolote lile na zimetengenezwa katika standards zinazosthaili. Tatizo sasa litakuja kuonekana baada ya kuwa bidhaa hiyo zimetumika. Kwamba zilipimwa wakati zinaingia na zikaonekana hazina matatizo, lakini baada ya matumizi zimeonekana kuwa zina matatizo, utafiti unakuja kuonyesha hivyo baada ya kuwa zimetumika. Hizo Barakoa zinazolalamikiwa na viongozi wetu, zinaweza kuwa ukizipeleka kwenye maabara hazionyeshi kama zina matatizo, isipokuwa utafiti umeshaonyesha kuwa wengi wa waliozitumia wamedhurika. Na ninadhani kuwa mzigo unapokuwa una matatizo, unakuwa siyo wote isispokuwa labda unaweza ukawa umechomekwa Barakoa moja kati ya 10, yaani tisa ziko sawa, halafu moja yake ndiyo ina matatizo, na hiyo moja ndiyo itatumika sasa kusambaza matatizo kwa wengine wale ambao za kwao zitakuwa hazina matatizo. Ni dhana yangu lakini, sina source yoyote kuhusina na hili.

By the way, mtu aliyewahi kuwathibitishia kuwa Papai lili-test positive kwa Covid 19, unawezaje kum-dobt kwenye swala la kitu kama Barakoa tu?
 
Covid 19....hatari sana hii kitu. Isikie tu. Mpango ni majibu mazuri ya uhatari wa covid
 
Ukimaliza cku zako unatakiwa kwanza kuoga
Huyu naye tumemchoka sasa khaa yeye kutwa kucha Magufuli Magufuli sasa Wewe umejifungia uko kwa wazungu unahangaika na huku unawashwa washwa tu baki na wazungu wako tuachie nchi yetu tutapambana nayo mpaka mwisho bana pumbafu sana huyu Ngurumo
 
Hatari sana pale freemason anapoamua kuwatoa kafara watu,kwao vifo ni ibada ya kupanda daraja.
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri, hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu Katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote, endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
Uliosoma zamani mmefungwa fikra.Mzungu Akuuwe kwa lipi haswa mtu uliyejifia kwa shida kedekede
 
Andiko zuri sana, nilijisikia vibaya sana alivyo msimamisha mama mmoja akamsifia kua ni profesa ila ana kansa na amekatwa titi moja.
tulikuwa hatujui sasa tumemjua. asingeropoka tusingemjua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…