Babylon,Ni muda gani sasa kutokea kuijuwa kwako zanzibar? umeshawahi kusikia Raia wake kukataa kuitwa miongoni mwa majina ya visiwa vyao?wezetu hamataki kuitwa watanganyika imekuwa kama vile Taboo au fedheha , hamtaki kusia au au kuitwa watanganyika na isitoshe hamko tayari kusikia kuisimamisha serekali itwayo ya Tanganyika
Ray B,you are right ,hawa Wazenj,ni lazy people.Wengi walijilipua ,wanapata mafao toka serikalini,hakuna kwenda shule,ni kuzaa watoto tu.Hawana mpango wowote.
Miaka ya 1989/90 kuliuwa na Mzenj mmoja anaomba omba pale station ya West Ham,sio mbali sana na Maalim Seif alipofanya mkutano.Ilikuwa embarrasment kwa sababu kwa Mtanzania kuombaomba Ulaya ni aibu sana hasa station ya rail.Hii ni fact kama Mtanzania ulishuhudia huyu bwana miaka ile,hebu waambie wana JF
Lamba,
Ray B,you are right ,hawa Wazenj,ni lazy people.Wengi walijilipua ,wanapata mafao toka serikalini,hakuna kwenda shule,ni kuzaa watoto tu.Hawana mpango wowote.
Miaka ya 1989/90 kuliuwa na Mzenj mmoja anaomba omba pale station ya West Ham,sio mbali sana na Maalim Seif alipofanya mkutano.Ilikuwa embarrasment kwa sababu kwa Mtanzania kuombaomba Ulaya ni aibu sana hasa station ya rail.Hii ni fact kama Mtanzania ulishuhudia huyu bwana miaka ile,hebu waambie wana JF
Muunguja,katika watu hao mia 300 waliokwenda kwenye mkutano wa maalim seif wapo ambao wanajidai kwamba ni asylum seeker kutoka burundi,somali,uganda. .wamedanganya uk immigration officers kwamba wanatoka nchi hizo .cha kushangaza then unakwenda kwenye mkutano wa kizanzibari how stupid is that?
solution ya muungano ni serikali 3 .simple and clear .zanzibar ,tanganyika na union government .chokochoko zote zitapungua .union government ishughulikie wizari ya ulinzi na mambo ya ndani pamoja na sarafu .seperate foreign affair,finance,revenue and customs .
Ukiachilia ubinafsi wa kisiasa wa hapa na pale kati ya Watanzania Bara na Visiwani Maalim Seif kama ana akili za kuangalia mbali hawezi kutaka kuvunja Muungano. Wanaotaka Muungano uvunjike cannot see beyond their noses! Zanzibar ni visiwa kama vilivyo visiwa vingine, hatuombi lakini inaweza ikatokea kwamba baada ya miaka 50 ijayo baadhi ya maeneo yanaweza kumezwa na bahari.
Zaidi ya hayo, Wazanzibari wataendelea kuzaliana na kuijaza Zanzibar. Wakijitoa kwenye Muungano watashindwa kupata mahali pa kwenda hapo ongezeko la watu litakapozidi eneo la Zanzibar litakalokuwepo. Hata kama watajenga magorofa ku-accomodate hiyo population bado watahitaji 'outlet' - Tanzania Bara! Hao 'wakimbizi' walio huko nje hawayafikirii hayo yote wanadhani kila kitu ni siasa tu.
mimi ndio nimechoka na hii nchi ...bado inaongozwa na eti na mawazo ya mwalimu nyerere as if he was a saint "nyerere" .hii nchi inahitaji kuongozwa na vijana ambao wanakubali mabadiliko...sema bado tanganyika watu wana usingizi mzito...solution ni serikali 3, kama haiwezekani na huu muungano uwe basi...tumechoka.Muunguja,
Hilo pendekezo la Serekali 3 lilitolewa zamani toka Mwl. JKN yupo nae alilipinga vikali na ikabakia hivyo. Serekali ya Tanganyika imepotelea ndani ya serekali ya Muungano. Na serekali ya Zanzibar hatuna uhakika kama kweli ipo au ni kivuli tu. Kwani Serekali inayofurukuta ni hiyo ya Tanzania.
Muunguja,
Hilo pendekezo la Serekali 3 lilitolewa zamani toka Mwl. JKN yupo nae alilipinga vikali na ikabakia hivyo. Serekali ya Tanganyika imepotelea ndani ya serekali ya Muungano. Na serekali ya Zanzibar hatuna uhakika kama kweli ipo au ni kivuli tu. Kwani Serekali inayofurukuta ni hiyo ya Tanzania.
Muunguja,nyerere alikuwa na agenda yake ndio mana hakutaka serikali 3 ,the main reason is to wipe out zanzibar out of the world .alitaka zenj iwe kama mkoa .tatizo la tanzania bara nyerere alionekana kama mungu mtu hakuna aliempinga mawazo yake.si jambo baya hata kidogo kuwa na serikali 3 kwasababu hii itaondosha chokochoko kwenye masuala ya TRA na international aid .
wazanzibar wanahisi kwamba misaada ya tanzania inayopatikana kutoka nje zanzibar haipati fair share ,then watanganyika wanahisi kwamba wanaibeba zanzibar kwneye masuala ya uchumi ,vilevile TRA wanachukua mapato kutoka zanzibar but no benefit in returns .
solution ni serikali 3 .tuwache mawazo ya DICTATOR NYERERE
Takriba watu miatatu walihudhuria mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF uliofanyika juzi jmosi 13/2/2010.
Baada ya maelezo marefu na ya ufasaha kuhusu mwangalio mpya uliofikiwa kati yake na mh. Karume hapo tarehe 5/11/2009 na ambao unatoa na kuleta matumaini mapya visiwani, wengi wa wasikilizaji wake yaelekea kuwa hicho sicho walichokuwa wamefuata.
na mara nafasi ya kuuliza maswali ilipotolewa nao walijaribu kuchomekea hoja yao abayo ni kuwepo kwa Muungano!
Maalim Seif aliipapatua hoja ya kwanza kuhusu Muungano kwa kusema kuwa "Hatupo kwa kuvunja Muungano" Kauli hiyo yaonekana kuwa haikupendeza kwani ukumbi ulionekana kupigwa na butwaa kidogo.
Swali la pili kuhusu Muungano liliitaka CUF ivunje Muungano mara moja ikiwa mambo kadhaa yasingefanyika, Kauli hii ilipata umaarufu kwa kushangiliwa na zaidi ya 3/4 ya wasikilizaji.
Maalim Seif akimtaja jina mtoa hoja alisema nafikiri Fulani hakunisikia nimesema: "hatuko kwa kuvunja Muunganio", kwa mara nyingine ukumbi ilipigwa na butwaa, ndipo nilipoamini kuwa wengi wataondoka wakiwa wamefadhaika.
Mwanjelwa,Nadhani wengi wa wasikilizaji/audience walikuwa wapemba wenzake, stowaways.