devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 268
- 370
watoto wake piaNguruwe anakula chochote hata banda lake akiwa na njaa analitafuna, sidhani kama pilipili inaweza kumuua
Ndio maana yule mdudu haliwiNguruwe anakula chochote hata banda lake akiwa na njaa analitafuna, sidhani kama pilipili inaweza kumuua
Si kweli, mimi natafuna chochote nachokutana nacho, hata mwanangu uwa nakulaga!Wana JF habar naomben ukweli juu ya hili swala eti nguruwe akila pilipili anakufa? Na kwanini? Pia nini kifanyike ili kumuokoa asife?
Msaada tafadhali ndugu wafugaji
yani akila pilipili moja anakufa hachukui round kbsaa , ni hatariiWana JF habar naomben ukweli juu ya hili swala eti nguruwe akila pilipili anakufa? Na kwanini? Pia nini kifanyike ili kumuokoa asife?
Msaada tafadhali ndugu wafugaji
Sema ndio maana huli, haliwi na nani mimi namla na ni mtamu kwelikweli.Ndio maana yule mdudu haliwi
Kama hauli ni wewe ndugu binafsi situmii ila analiwa sanaNdio maana yule mdudu haliwi
Hafi ila anatoa sana udenda ambao humfanya akose raha atahangaika sana.Wana JF habar naomben ukweli juu ya hili swala eti nguruwe akila pilipili anakufa? Na kwanini? Pia nini kifanyike ili kumuokoa asife?
Msaada tafadhali ndugu wafugaji
Mhh una roho mbaya weweππHafi ila anatoa sana udenda ambao humfanya akose raha atahangaika sana.
Binafsi niliwahi fanya hivyo wa jirani kwa kweli alipiga kelele kutwa nzima.
Na nikamwingizia ule mlingoti wa jani la gimbi kule kwenye ishu yake ule muwasho lile banda nililionea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hafi ila anatoa sana udenda ambao humfanya akose raha atahangaika sana.
Binafsi niliwahi fanya hivyo wa jirani kwa kweli alipiga kelele kutwa nzima.
Na nikamwingizia ule mlingoti wa jani la gimbi kule kwenye ishu yake ule muwasho lile banda nililionea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani bhana sio saa hivi[emoji13][emoji13]Hahahaha wee jamaa aisee...! Daaah.