Nguvu nyuma ya teknolojia na maendeleo ya mwanadamu,kizazi chetu kina nini?

Nguvu nyuma ya teknolojia na maendeleo ya mwanadamu,kizazi chetu kina nini?

Sir Khan

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
5,730
Reaction score
11,576
"I can't believe that God is playing the game of dice with the world" by Albert Einsten.
Wakuu wasalaam,
Bila kupoteza muda niende kwenye mada husika,Kuanzia karne ya 19 hadi sasa kumeshuhudiwa maendeleo makubwa katika nyanja zote za maisha,kwa mfano ugunduzi wa simu,ndege,organ transplant,kompyuta,picha mnato na ujio wa mitandao ya kijamii na mambo mengine mengi.
Swali la kujiuliza hapa ni kwanini hizi teknolojia zimegundulika karne hizi?,kwanini smartphone haikutengenezwa kipindi cha Yesu?sasa hivi tungekuwa na picha halisi za Yesu,kwanini suamarine haikutengenezwa kipindi cha Nuhu?maana watu wengi wangepona kwenye ile gharila kuu.
Je anayeruhusu ukuaji wa teknolojia ni Mungu,shetani, aliens au mwanadamu mwenyewe?
Biblia inaeleza kuwa Sulemani alikuwa na akili kuliko watu wote,kwanini hakugundua hata memory card?(naamini alikuwa na uwezo mkubwa)
Swali la mwisho je sisi tuna akili kuliko watu wa kale?
by %Sir Khan,Born 2 win%
 
"I can't believe that God is playing the game of dice with the world" by Albert Einsten.
Wakuu wasalaam,
Bila kupoteza muda niende kwenye mada husika,Kuanzia karne ya 19 hadi sasa kumeshuhudiwa maendeleo makubwa katika nyanja zote za maisha,kwa mfano ugunduzi wa simu,ndege,organ transplant,kompyuta,picha mnato na ujio wa mitandao ya kijamii na mambo mengine mengi.
Swali la kujiuliza hapa ni kwanini hizi teknolojia zimegundulika karne hizi?,kwanini smartphone haikutengenezwa kipindi cha Yesu?sasa hivi tungekuwa na picha halisi za Yesu,kwanini suamarine haikutengenezwa kipindi cha Nuhu?maana watu wengi wangepona kwenye ile gharila kuu.
Je anayeruhusu ukuaji wa teknolojia ni Mungu,shetani, aliens au mwanadamu mwenyewe?
Biblia inaeleza kuwa Sulemani alikuwa na akili kuliko watu wote,kwanini hakugundua hata memory card?(naamini alikuwa na uwezo mkubwa)
Swali la mwisho je sisi tuna akili kuliko watu wa kale?
by %Sir Khan,Born 2 win%
Biblia gani inasema Suleiman alikuwa na Akili kuliko watu wote mkuu tuwekee Basi nukuu hapa na mstari tufate tukasome.

Ninachojua ni kwamba mfalme suleiman alikuwa na Hekima tu aliyobarikiwa kutoka kwa bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana siyo kesho ndugu.kilichotokea jana sicho cha kesho,ni kama ulivyokua mdogo sasa ni mkubwa,na hainaa maana ukawa na akili kuliko baba yako.ya wakati wa wazazi ni ya wakati wao na ya leo ni leo.mi sioni mjadala ni nn hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia gani inasema Suleiman alikuwa na Akili kuliko watu wote mkuu tuwekee Basi nukuu hapa na mstari tufate tukasome.

Ninachojua ni kwamba mfalme suleiman alikuwa na Hekima tu aliyobarikiwa kutoka kwa bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
"tazama nimekupa moyo wa hekima na wa akili,hata kabla hapakuwa na mtu kama wewe wala baada yako hatainuka mtu kama wewe"Wafalme 3:12
 
Jana siyo kesho ndugu.kilichotokea jana sicho cha kesho,ni kama ulivyokua mdogo sasa ni mkubwa,na hainaa maana ukawa na akili kuliko baba yako.ya wakati wa wazazi ni ya wakati wao na ya leo ni leo.mi sioni mjadala ni nn hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjadada umejikita katika kutambua ni nguvu gani inasukuma kuwapo kwa teknolojia fulani au maendeleo fulani kwa kipindi fulani na sio kipindi kingine.Kwanini ndege imegunduliwa karne ya 20 na sio kabla ya hapo?
Jaribu kufikiri nje ya mitazamo ya kawaida inayodumaza ubongo
 
Baada ya miaka 2000 hivi... Watu wa wakat huo watajiuliza kwanini mababu zetu walioishi miaka ya 2018 walishindwa kugundua vitu hivi tunavyotumia sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ndio pa kujiuliza kwanini sisi tushindwe halafu wao waweze?
Mtu aliyekufa mwaka 1700 akirudi sasahivi atashangaa haya maendeleo tuliyonayo,why not them?
 
Duh kweli noma.. ila mtazamo wangu labda niegemee kwanza kwenye maandishi ya kihistoria watu walianza kuandika/kujifunza katika (miaka 5000-6000 iliyopita) na kuna vitabu vinasema historia ya kuwepo binadamu ni zaidi ya miaka 200000 iliyopita na wagunduzi wengine wanadai mwanadamu alikwepo zaidi ya miaka mill 1 huko...mfano ni ɓaigong pipes (bomba zinzotumiaka kwenye majengo ya binadamu) za china amɓazo zimegunduliwa zilikwepo zaidi ya miaka 150000 iliƴopita....
Tukirudi kwenye kitabu cha enoch kuna viumbe wanadai ni malaika/watchers/space beings, waliwafundisha wakina enoch mbinu mbali mbali za kuishi kutokana na mazingira mpaka mafunzo ya kuandika pia ,kutengenza vifaa mɓali mɓali ,n.k (kumɓuka enoch alikuwa kabla ya nuhu na kitabu kimeandikwa kabla ya lamech na nuhu kuzaliwa ) baada ƴa kuzaliwa miaka kati ya 40-80 ndo ikatokea gharika [emoji117] (1400BC) na watafiti wanasema kuna ɓaadhi ya nyaraka zilipotea na zengine alikuwa nazo Musa miaka ya 3500 BC alitoka nazo Misri miaka hiƴo kwenda nchi ya ahadi/
*inawezekana na huko kwenye ma pƴramid kuna michoro na maandishi mengi yanayoonesha mambo yakiteknolojia ya sasa yaliwekwa kulingana na kitabu hicho.
Saɓaɓu nyengine :-
..kama tunavƴojua(kulingana na vitaɓu vya historia) binadamu tulikuwa ni watu wa kuhama hama kutafuta mahali pazuri pa kuishi(tukiwa tunachukua miaka na miaka kuhama hama rejea vitabu vya historia ya binadamu) , kutafuta ardhi nzuri kwaajili ya kilimo na ufugaji ndipo tulipopata kugunɗua njia mɓali mɓali za kilimo miaka 8000 iliyopita tugandua njia bora za kilimo/kutumia chuma mfano wa shoka, jembe ,n.k na kuweka vitu kwenye maandishi ni miaka 5000 iliƴopita ..kwa maana hiyo maandishi ndiyo yaliyokuwa yatusaidie kuweka vitu kwenye kumɓukumɓu huko nyuma tujue kama kulikuwa na jamii iliƴoenɗelea kiteknolojia zaidi hatukuwa nayo sasa ɓasi!.
Kulingana na historia ya dunia unaweza google(Urban World Historƴ) dunia ilikuwa na watu wasiozidi mill 15 ndani ƴa eneo lenye kilomita za mraba millioni 510! ukilinganisha na sasa tuko zaidi ya bill 7! ,
Ongezeko la watu linapelekea kuanzishwa kwa jamii ya watu katika makabila,tawala, mpaka nchi ndani ya mipaka yao..mahitaji muhimu yakaongezeka watu wanahitaji chakula ardhi ya kuzalisha huku wakiidi kuzaliana, kulingana na wahitaji ardhi haitoshi kuzalisha chakula cha kutosha / maana kuna ardhi ya makazi pia inabidi itengwe ,akili ya kuunda vitu mbali mbali ndo inawajia sasa kuna mpaka wall farming huko kwa wenzetu ,yanakuja maswala ya shadenet farming,mpaka mbegu za maaɓara znatengenezwa za kuzalisha chakula kwa wingi na haraka...(kila mtu antengeneza ɗhana yake yakaja maswala ya kubadilishana bidhaa, sarafu...noti..n.k )msongamano wa watu ndio unaoleta changamoto yote katika jamii ndio maana ukifanya kautafiti kako kadogo utagunɗua mahali / nchi nyingi palipo na wengi pana maendeleo ya kiteknolojia zaidi..
.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna vitu vikigunduliwa huwa ni game changer na hufanya mengi yawezekane. mfano ugunduzi wa chuma ulibadili kabisa maisha. ugunduzi wa bunduki ulibadili mambo mengi. Leo hii ugunduzi wa umeme na engine ndiyo umesababisha yote haya. Tunaweza kaa miaka mingi sana mpaka kitu cha kabadili historia kama hivyo hapo juu kuja kugunduliwa.
 
Mkuu mratibu Wa Mambo yote Ni Mungu Mwenyezi tu! kusudi la Yesu Kristo Kuja Duniani Lilikuwa Ni kuanzisha Enzi Mpya, alifanya kazi kubwa mno yakuwatoa watu katika vifungo vya miiko ya Asili yeye ndiye chanzo cha usasa maana alitoa miiko yote ya (Asili) Alipoleta Enzi Mpya,kiukweli Teknolojia tuliyonayo si nzuri sana wala si mbaya sana(ila inakubaliana na akili za kizazi hiki) hii ndio kazi ya Yesu Kuanzisha Mfumo Mwingine Wa Kutufungua katika kamba zilizotufunga kitambo.
WENGI WATAUPINGA HUU UKWELI:
 
Duh kweli noma.. ila mtazamo wangu labda niegemee kwanza kwenye maandishi ya kihistoria watu walianza kuandika/kujifunza katika (miaka 5000-6000 iliyopita) na kuna vitabu vinasema historia ya kuwepo binadamu ni zaidi ya miaka 200000 iliyopita na wagunduzi wengine wanadai mwanadamu alikwepo zaidi ya miaka mill 1 huko...mfano ni ɓaigong pipes (bomba zinzotumiaka kwenye majengo ya binadamu) za china amɓazo zimegunduliwa zilikwepo zaidi ya miaka 150000 iliƴopita....
Tukirudi kwenye kitabu cha enoch kuna viumbe wanadai ni malaika/watchers/space beings, waliwafundisha wakina enoch mbinu mbali mbali za kuishi kutokana na mazingira mpaka mafunzo ya kuandika pia ,kutengenza vifaa mɓali mɓali ,n.k (kumɓuka enoch alikuwa kabla ya nuhu na kitabu kimeandikwa kabla ya lamech na nuhu kuzaliwa ) baada ƴa kuzaliwa miaka kati ya 40-80 ndo ikatokea gharika [emoji117] (1400BC) na watafiti wanasema kuna ɓaadhi ya nyaraka zilipotea na zengine alikuwa nazo Musa miaka ya 3500 BC alitoka nazo Misri miaka hiƴo kwenda nchi ya ahadi/
*inawezekana na huko kwenye ma pƴramid kuna michoro na maandishi mengi yanayoonesha mambo yakiteknolojia ya sasa yaliwekwa kulingana na kitabu hicho.
Saɓaɓu nyengine :-
..kama tunavƴojua(kulingana na vitaɓu vya historia) binadamu tulikuwa ni watu wa kuhama hama kutafuta mahali pazuri pa kuishi(tukiwa tunachukua miaka na miaka kuhama hama rejea vitabu vya historia ya binadamu) , kutafuta ardhi nzuri kwaajili ya kilimo na ufugaji ndipo tulipopata kugunɗua njia mɓali mɓali za kilimo miaka 8000 iliyopita tugandua njia bora za kilimo/kutumia chuma mfano wa shoka, jembe ,n.k na kuweka vitu kwenye maandishi ni miaka 5000 iliƴopita ..kwa maana hiyo maandishi ndiyo yaliyokuwa yatusaidie kuweka vitu kwenye kumɓukumɓu huko nyuma tujue kama kulikuwa na jamii iliƴoenɗelea kiteknolojia zaidi hatukuwa nayo sasa ɓasi!.
Kulingana na historia ya dunia unaweza google(Urban World Historƴ) dunia ilikuwa na watu wasiozidi mill 15 ndani ƴa eneo lenye kilomita za mraba millioni 510! ukilinganisha na sasa tuko zaidi ya bill 7! ,
Ongezeko la watu linapelekea kuanzishwa kwa jamii ya watu katika makabila,tawala, mpaka nchi ndani ya mipaka yao..mahitaji muhimu yakaongezeka watu wanahitaji chakula ardhi ya kuzalisha huku wakiidi kuzaliana, kulingana na wahitaji ardhi haitoshi kuzalisha chakula cha kutosha / maana kuna ardhi ya makazi pia inabidi itengwe ,akili ya kuunda vitu mbali mbali ndo inawajia sasa kuna mpaka wall farming huko kwa wenzetu ,yanakuja maswala ya shadenet farming,mpaka mbegu za maaɓara znatengenezwa za kuzalisha chakula kwa wingi na haraka...(kila mtu antengeneza ɗhana yake yakaja maswala ya kubadilishana bidhaa, sarafu...noti..n.k )msongamano wa watu ndio unaoleta changamoto yote katika jamii ndio maana ukifanya kautafiti kako kadogo utagunɗua mahali / nchi nyingi palipo na wengi pana maendeleo ya kiteknolojia zaidi..
.






Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumzia China.
 
Back
Top Bottom