The bord ww mnafiki kweli hii story umetunga na kuna vitu vingi imeviacha ili kuilinda forex broker kama ni Scam aahahahh naona Ontario anakutumia ww ili msaidie kuwakusanya mazuzu wakaisome forex ahahah pole sana.
Kimsingi kamari ni haramu, however way you look at it.Hizo nyingine ni frustrations zako tu.Wewe ni mpumbavu zwazwa mjinga,
Nimevumilia sana nistoe kauli hizi mpaka nimeshindwa,
Kwanini unatumia nguvu nyingi kiasi hicho kwa kitu usichokijua?
Kwanini ulazimishe watu wakubali maoni yako?
Sikiliza wewe mbulula umehubiri vya kutosha huo upuuzi wako na fikra zako za kimaskini,
Kwa sababu umehubiri sana huo ujinga wako basi sasa watu wameelewa na wasiokuelewa acha waendelee kuliwa,
Kabla ya kuleta hoja za kijinga na kipumbavu kama zako ni bora ukafanya utafiti wa kina kwanza
Ni bora ungetafuta hiatoria ya forex vizuri kabla hujaja hapa
Wasiwasi wangu ni uelewa wako sisi wengine uelewa wetu ni mdogo ila wako umepitiliza sana
Tafuta watu wakufafanulie hii nimeona sehemu moja una-correlate spread na market marker are you insane?
Kimsingi kamari ni haramu, however way you look at it.Hizo nyingine ni frustrations zako tu.
Mbona mwenye uzi wake hajamaliza wewe tayari umemaliza?sioni mahali popote alipo kokota mtu kwa namna yoyote ile,au unafikiri kuita wenzio mazuzu kunakufanya wewe kuwa mjanja?we mwenyewe zuzu tu unaruka ruka bila hoja,umeashaanzia mada mbili zinazoelezea isue moja tumesoma,tumekuelewa tuache tuchambue na uelewa wa wengine au kuna kitu gani unakificha hutaki wengine wakielewe?The bord ww mnafiki kweli hii story umetunga na kuna vitu vingi imeviacha ili kuilinda forex broker kama ni Scam aahahahh naona Ontario anakutumia ww ili msaidie kuwakusanya mazuzu wakaisome forex ahahah pole sana.
Wewe ni mpumbavu zwazwa mjinga,
Nimevumilia sana nistoe kauli hizi mpaka nimeshindwa,
Kwanini unatumia nguvu nyingi kiasi hicho kwa kitu usichokijua?
Kwanini ulazimishe watu wakubali maoni yako?
Sikiliza wewe mbulula umehubiri vya kutosha huo upuuzi wako na fikra zako za kimaskini,
Kwa sababu umehubiri sana huo ujinga wako basi sasa watu wameelewa na wasiokuelewa acha waendelee kuliwa,
Kabla ya kuleta hoja za kijinga na kipumbavu kama zako ni bora ukafanya utafiti wa kina kwanza
Ni bora ungetafuta hiatoria ya forex vizuri kabla hujaja hapa
Wasiwasi wangu ni uelewa wako sisi wengine uelewa wetu ni mdogo ila wako umepitiliza sana
Tafuta watu wakufafanulie hii nimeona sehemu moja una-correlate spread na market marker are you insane?