Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Sielewi kitu mkuu naona story tuu naona upo kuonesha utaalam wako wa kufuatilia story
 
Mkuu bold umenichekesha sana kwamba ulikua umevaa t-shirt ya jeshi ukaona sio ukatupia sweta la polisi ahahaa hapo ni km ulitaka zima moto kwa petroli unless unambie na ww ni potii muraaa. Najua sababu ya kukupeleka kituoni ni Niffah tu na sio mwingine
 
The bord ww mnafiki kweli hii story umetunga na kuna vitu vingi imeviacha ili kuilinda forex broker kama ni Scam aahahahh naona Ontario anakutumia ww ili msaidie kuwakusanya mazuzu wakaisome forex ahahah pole sana.
 
Twende kaz the Bold kama uliwachukulie wake zao sisi hatujali achana na mapovu ya mbunju au kwanga sijui komoa
 
The bord ww mnafiki kweli hii story umetunga na kuna vitu vingi imeviacha ili kuilinda forex broker kama ni Scam aahahahh naona Ontario anakutumia ww ili msaidie kuwakusanya mazuzu wakaisome forex ahahah pole sana.

Wewe ni mpumbavu zwazwa mjinga,

Nimevumilia sana nistoe kauli hizi mpaka nimeshindwa,

Kwanini unatumia nguvu nyingi kiasi hicho kwa kitu usichokijua?

Kwanini ulazimishe watu wakubali maoni yako?

Sikiliza wewe mbulula umehubiri vya kutosha huo upuuzi wako na fikra zako za kimaskini,

Kwa sababu umehubiri sana huo ujinga wako basi sasa watu wameelewa na wasiokuelewa acha waendelee kuliwa,

Kabla ya kuleta hoja za kijinga na kipumbavu kama zako ni bora ukafanya utafiti wa kina kwanza

Ni bora ungetafuta hiatoria ya forex vizuri kabla hujaja hapa

Wasiwasi wangu ni uelewa wako sisi wengine uelewa wetu ni mdogo ila wako umepitiliza sana

Tafuta watu wakufafanulie hii nimeona sehemu moja una-correlate spread na market marker are you insane?
 
Kimsingi kamari ni haramu, however way you look at it.Hizo nyingine ni frustrations zako tu.
 
The bord ww mnafiki kweli hii story umetunga na kuna vitu vingi imeviacha ili kuilinda forex broker kama ni Scam aahahahh naona Ontario anakutumia ww ili msaidie kuwakusanya mazuzu wakaisome forex ahahah pole sana.
Mbona mwenye uzi wake hajamaliza wewe tayari umemaliza?sioni mahali popote alipo kokota mtu kwa namna yoyote ile,au unafikiri kuita wenzio mazuzu kunakufanya wewe kuwa mjanja?we mwenyewe zuzu tu unaruka ruka bila hoja,umeashaanzia mada mbili zinazoelezea isue moja tumesoma,tumekuelewa tuache tuchambue na uelewa wa wengine au kuna kitu gani unakificha hutaki wengine wakielewe?
 
MPE ZAKE,KAJAMAA KANA ACCOUNT NYINGI,KILA SIKU KANAFUNGUA UZI MPYA.
 
nyie watu wa forex mbona sioni mahali wateja wananunua hizo pesa zenu au mna trade kivipi mbona kama mnacheza na algorith ambazo wahuni wameziweka ili mpigwe pesa zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…