Chademaa wangekuwa makini wangezikonga nyoyo za wengi, tatizo lao wanapapara sana na siasa bado hawana mbinu. Wajifunze. Upinzani wanapochochewa na ccm kuwa kazi yao ni kupinga kila kitu wao huona ni kweli kumbe wanaingizwa mkenge. Yale wanayoyaona yametekelezwa kikweli wangekuwa wana appreciate na kutafuta njia za kuchukuwa credit, na pale wanapoona mapungufu wangekuwa wanafanya kwa vitendo vya kuonesha inawezekana na si kupiga kelele tu. Mwisho wanaonekana kuwa ni watu wa kulalamika tu kwa kila kitu. Wawe makini, wanaingizwa mkenge na wanauvaa kichwa kichwa.