umati wa kawaida kabisa huu, mbaya zaidi wengi wao sio wapiga kura!
nani aache kupiga kura.weeeee..nimeclick mpaka kwenye website ya nec jina langu lipo kwenye wapiga kura halali sasa msimamizi wa uchaguzi asinichanganye kabisa tar 31
Habari za kuaminika nilizozipata hivi punde kutoka kwa mdau huko Mwanza ni kuwa umati aliokusanya Dr.Slaa leo huko Mwanza haujapata kutokea na imemlazimu JK kwenda Mwanza tena kesho..
Naagiza vijana wanitumie picha niweke hapa
kusema ukweli wangu wote, sijawahi ona kitu kama hii... tena watu kwenda kwa hiyari yao
TBC hawajaonesha kabisa picha.....mwandishi ameongea kutoka kwenye simu....nadhani huo umati hata hauchakaluchiki...
TBC hawajaonesha kabisa picha.....mwandishi ameongea kutoka kwenye simu....nadhani huo umati hata hauchakaluchiki...
unamaanisha nini unavyosema kama hii itakuwa kweli!?????? si umeona Picha au unadhani ni kazi ya computer!! hahahahhahahha!Kama hii itakuwa kweli basi Dr. Slaa atakuwa amemaliza kazi, kwa sababu hata JK atakuwa ameanza kucheza ngoma ya Dr. Slaa. Na pia mawazo na mbinu za JK zitakuwa kwisha. mwisho atakuwa Ze komedi. Unajua Convicing power ya JK ni ndogo sana ukilinganisha na Slaa. Itabidi sasa ahaidi daraja kutoka Entebbe mpaka mwanza pia Kagera na Musoma.
Umati wa kawaida kabisa huu, mbaya zaidi wengi wao sio wapiga kura!
Acha kujidanganya.......waulize wachakachuaji wenu usajili wa simu ni vitambulisho gani vimetumika zaidi