LGE2024 Nguvu ya Umma: Angalia Jinsi Mgombea wa CHEDEMA anavyosindikizwa na Wanakijiji Wenzake kwenda kuchukua Fomu

LGE2024 Nguvu ya Umma: Angalia Jinsi Mgombea wa CHEDEMA anavyosindikizwa na Wanakijiji Wenzake kwenda kuchukua Fomu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba leo tarehe 26/10/2024 kipyenga cha uchukuaji wa fomu za kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa kimepulizwa Rasmi.

Screenshot_2024-10-25-11-46-09-1.png


Na hivi ndivyo Chadema ilivyofanya

Screenshot_2024-10-26-18-41-59-1.png
Screenshot_2024-10-26-18-42-08-1.png
Screenshot_2024-10-26-18-42-14-1.png


Ujumbe: Wananchi ndio Wenye Nchi
 
Tarehe 27 Novemba sio mbali.Tutasikia visingizio kuwa uchaguzi haukuwa wa haki na huru.
Rukeni rukeni sasa hivi ukweli utakapodhihiri hatutaki visingizio.
 
Tarehe 27 Novemba sio mbali.Tutasikia visingizio kuwa uchaguzi haukuwa wa haki na huru.
Rukeni rukeni sasa hivi ukweli utakapodhihiri hatutaki visingizio.
Ukiiba kura utadhibitiwa kwa kibano kikali cha Wananchi
 
Kuna msemo unasema “Wajumbe Sio watu”

Kumbuka Kura ni SIRI...
 
Back
Top Bottom