Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shetani hajawahi kumshinda MunguCHADEMA Kwa rafu tulizoshuhudia,
Msijelalama kuwa mmeibiwa kura.
Karibu sanaSawa mkuu,
Ukiiba kura utadhibitiwa kwa kibano kikali cha WananchiTarehe 27 Novemba sio mbali.Tutasikia visingizio kuwa uchaguzi haukuwa wa haki na huru.
Rukeni rukeni sasa hivi ukweli utakapodhihiri hatutaki visingizio.
Wewe endelea kuota.Angalia tu usijinyee.JF itaendela kuwepo na mtaendelea kuandika ujinga wenu na visingizio kibao.Ukiiba kura utadhibitiwa kwa kibano kikali cha Wananchi
Tulia wewe!Wewe endelea kuota.Angalia tu usijinyee.JF itaendela kuwepo na mtaendelea kuandika ujinga wenu na visingizio kibao.
Wewe tarishi wa Sugu huwezi kuniambia nitulie.Tulia wewe!
CHADEMA Kwa rafu tulizoshuhudia,
Msijelalama kuwa mmeibiwa kura.
asanteToeni elimu mkuu, msiishie mjini tu, moro huku hamna chadema zaidi ya mikumi
😆😆😆😆Wewe tarishi wa Sugu huwezi kuniambia nitulie.
Wameishia mijini halafu wakigaragazwa utasikia kelele za kuibiwa kura.Toeni elimu mkuu, msiishie mjini tu, moro huku hamna chadema zaidi ya mikumi
Mdude Nyagali anagombea?Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba leo tarehe 26/10/2024 kipyenga cha uchukuaji wa fomu za kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa kimepulizwa Rasmi.
View attachment 3136018
Na hivi ndivyo Chadema ilivyofanya
View attachment 3136019View attachment 3136020View attachment 3136021
Ujumbe: Wananchi ndio Wenye Nchi
Halafu siku ya uchaguzi utasikia amepata kura 5!Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba leo tarehe 26/10/2024 kipyenga cha uchukuaji wa fomu za kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa kimepulizwa Rasmi.
View attachment 3136018
Na hivi ndivyo Chadema ilivyofanya
View attachment 3136019View attachment 3136020View attachment 3136021
Ujumbe: Wananchi ndio Wenye Nchi