Nguvu ya Umma baada ya miaka 15 ijayo ndiyo itakayoleta Katiba Mpya Tanzania, na si CCM

Nguvu ya Umma baada ya miaka 15 ijayo ndiyo itakayoleta Katiba Mpya Tanzania, na si CCM

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Kudai katiba mpya kwa CCM au wanasiasa ni sawa na kudai uhuru kutoka kwa "mkoloni" kwa sababu ya ubinafsi (egoism). Katiba ndio injini ya nchi yoyote ile duniani.

Watanzania ni kama mgonjwa wa akili tu! Ambaye anamini kuwa katiba mpya italetwa na CCM au wanasiasa. Hakuna raisi atakubali kirahisi kupunguziwa madaraka, utukufu, hadhi, nguvu, mamlaka, n.k. Huyo mtu hayupo duniani, hata mbinguni. Bila shaka atakuwa chizi. Hata Mungu alipotaka kupunguziwa madaraka na shetani, Mungu alimfukuza shetani kabisa katika himaya yake, kwa mujibu wa hadithi za Wakristo.

Madaraka ni matamu mno, tena mno; kupewa utukufu ni kuzuri mno kwa binadamu mwenye akili timamu. Hivyo basi ni "nguvu ya umma" pekee ambayo inaweza kuleta katiba mpya. Baada ya miaka 15 ijayo, ninaamini Watanzania wengi watakuwa wameelimika juu ya umuhimu wa katiba mpya.

Baada ya miaka hiyo pia, Watanzania watakuwa wamechoka kusikia familia zile zile nenda rudi, miaka yote wakiwa ni viongozi, koo zao, ndugu zao, watoto wao, wajukuu wao, makabila yao, dini zao, kanda zao. Ndipo sasa Watanzania wote bila kujali dini, wala itikadi, wala kabila wataungana kwa pamoja na kudai katiba mpya. "Hakuna masika yasiyo kuwa na ncha." Mungu ibariki Tanzania.

— Mwinjilist wenu Gabeji.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Kudai katiba mpya kwa ccm au wanasiasa ni Sawa na kudai uhuru kutoka kwa "mkoloni" kwa sababu ya (egoism), Katiba ndio injini ya nchi yoyote ile duniani.

Watanzania ,ni mgojwa wa akili
tu! ambae anamini kuwa katiba mpya italetwa na ccm au wanasiasa. Hakuna raisi atakubali kirahisi kupunguziwa madaraka, utukufu, hadhi, nguvu,mamlaka, n.k, huyo mtu hayupo duniani hata mbinguni. Bila shaka atakuwa chizi
Hata Mungu alipotaka kupunguziwa madaraka na shetani, Mungu alimua kumfukuza shetani kabisa katika himaya yake, kwa mujibu ya hadithi za wakristo.
Madaraka ni matamu mno tena mno, kupewa utukufu ni kuzuri mno kwa binadamu mwenye akili timamu.
Hivyo basi ni" nguvu ya uma pekee" ambayo inaweza kuleta katiba mpya. Baada ya miaka 15 ijayo nina amini watanzania wengi watakuwa wameelimika juu ya umuhimu wa katiba mpya.

Baada ya miaka hiyo pia watanzania watakuwa wamewachoka kusikia familia zile zile nenda rudi ,miaka yote wakiwa ni viongozi ,koo zao, ndugu zao, watoto wao , wajukuu wao, makabila yao, dini zao, kanda zao, ndipo sasa watanzania wote bila kujali dini,wala itikadi,wala kabila wataungana kwa pamoja na kudai katiba mpya. "Hakuna masika yasio kuwa na ncha" Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ni mtu mwendawazimu tu peke yake ndiye ambaye anaamini kwamba Katiba mpya nchini Tanzania italetwa na CCM.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Kudai katiba mpya kwa ccm au wanasiasa ni Sawa na kudai uhuru kutoka kwa "mkoloni" kwa sababu ya (egoism), Katiba ndio injini ya nchi yoyote ile duniani.

Watanzania ,ni mgojwa wa akili
tu! ambae anamini kuwa katiba mpya italetwa na ccm au wanasiasa. Hakuna raisi atakubali kirahisi kupunguziwa madaraka, utukufu, hadhi, nguvu,mamlaka, n.k, huyo mtu hayupo duniani hata mbinguni. Bila shaka atakuwa chizi
Hata Mungu alipotaka kupunguziwa madaraka na shetani, Mungu alimua kumfukuza shetani kabisa katika himaya yake, kwa mujibu ya hadithi za wakristo.
Madaraka ni matamu mno tena mno, kupewa utukufu ni kuzuri mno kwa binadamu mwenye akili timamu.
Hivyo basi ni" nguvu ya uma pekee" ambayo inaweza kuleta katiba mpya. Baada ya miaka 15 ijayo nina amini watanzania wengi watakuwa wameelimika juu ya umuhimu wa katiba mpya.

Baada ya miaka hiyo pia watanzania watakuwa wamewachoka kusikia familia zile zile nenda rudi ,miaka yote wakiwa ni viongozi ,koo zao, ndugu zao, watoto wao , wajukuu wao, makabila yao, dini zao, kanda zao, ndipo sasa watanzania wote bila kujali dini,wala itikadi,wala kabila wataungana kwa pamoja na kudai katiba mpya. "Hakuna masika yasio kuwa na ncha" Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Naunga mkono hoja sana tuuu......
 

Attachments

  • IMG_3824.jpeg
    IMG_3824.jpeg
    50.6 KB · Views: 4
  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
Kabisa sisi BAdo sana mkuu ni wakinga tu
 
Back
Top Bottom