nguvu ya umma

mdoe the thinker

Senior Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
104
Reaction score
20
Habarini humu jamvini?mimi ni mgeni naomba ukarisho wenu waungwana!
Kwa bahati kwa wale wa pinzani ningependa kuwataarifu kwamba mimi ni mwanachadema damadam!na declare interest!
 
Kwahiyo?unataka tukule denda au?kwani kunaambae sio cdm hum jamvini?ukiwa mgen piga kimya ucheki makamanda wanavyo lisongesha eboo!
 
Kwahiyo?unataka tukule denda au?kwani kunaambae sio cdm hum jamvini?ukiwa mgen piga kimya ucheki makamanda wanavyo lisongesha eboo!

Aaaah, Mkuu mimi mwenyewe mbona CCM! Kidumu chama cha mapinduziiiiiiii, . . . . .Zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM! . . . . . .
 
Karibu jamvini mwanachadema, lakini hili ni jamvi la Watanzania wote. Waliokuwa na vyama na wasiokuwa na vyama. Karibu sana.
 
Kwahiyo?unataka tukule denda au?kwani kunaambae sio cdm hum jamvini?ukiwa mgen piga kimya ucheki makamanda wanavyo lisongesha eboo!

Ucjal kamkubwa nitatulia,ila nilkuwa nadeclare interest tu kama ulinelewa vzuri!but thanks kwa kunikaribsha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…