Nguvu ya viongozi wa imani katika kutoa laana au baraka

Nguvu ya viongozi wa imani katika kutoa laana au baraka

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,549
Reaction score
4,133
Ninaandika haya nikiwa na ushahidi wala sio mambo ya kusimuliwa.

Nilipokuwa mdogo, kuna stori za mtaa kwamba Padri flani akikulaani inakupata. Nikawa na wasiwasi juu ya hilo, lakini katika kukua kwangu nikalithibitisha.

1. Padri mmoja alkuwa muda mwingi anatumia kusali. Ilkuwa akitukuta njiani au shuleni anauliza kwanini hujaenda kanisani? Na ikumbukwe hakujui, na ibada zipo 4 na kanisa ni kubwa! Hadi leo ninajiuliza sana uwezo wake.

2. Katika ujenzi wa kanisa hapa Ushirombo, ni miaka ya 90 waljitokeza wafadhil wa Ujerumani katika ujenzi lakini ikaonekana kuna migogoro kwamba wanajenga kwa upendeleo. Iliibua kelele nyingi sana na mwishowe Padre wa Kijerumani akavunja sarafu ya sh 1 mbele ya waumini akasema "Hakuna kanisa hapa", na kweli hadi leo ule mji umechangamka sana lakini hakuna Parokia.

3. Mwaka jana Padri mmoja alifungisha ndoa akasema, "Hii ni ndoa yangu ya kwanza kufungisha, ikitokea mmoja wenu kumwacha mwenzie, na awe mwehu". Leo yule mwanaume ni chizi!

Hebu tujiulize kuna nini kikubwa hapo?
 
Natamani kuchangia na kukupa jibu lakini siamini maneno yako. Ni fedheha kubwa kujadili kitu usichokuwa na uhakika kama ni kweli kimetokea au 'chai' tu.

Hata kama ni kweli, bado nakushauri achana na hizo mambo mkuu, shughulisha akili yako kwenye vitu vinavyoleta maana. Hayo mauzauza yatakupotezea muda na kukutia hofu tu.

Uhusiano wako na Mungu ubaki kwenye Imani na Matendo yako binafsi, kwake na kwa binadamu wenzio. Kuchunguza watu wengine na matokeo ya wanayoyafanya hakutakusaidia zaidi ya kukuvuruga tu...

USIIBE, USIUE, USIDANGANYE, USIDHULUMU, USIUDHI, USIFITINISHE, USIFANYE KILA KITU AMBACHO USINGEPENDA KUFANYIWA.. -

Hayo yakuongoze!
 
Natamani kuchangia na kukupa jibu lakini siamini maneno yako. Ni fedheha kubwa kujadili kitu usichokuwa na uhakika kama ni kweli kimetokea au 'chai' tu.

Hata kama ni kweli, bado nakushauri achana na hizo mambo mkuu, shughulisha akili yako kwenye vitu vinavyoleta maana. Hayo mauzauza yatakupotezea muda na kukutia hofu tu.

Uhusiano wako na Mungu ubaki kwenye Imani na Matendo yako binafsi, kwake na kwa binadamu wenzio. Kuchunguza watu wengine na matokeo ya wanayoyafanya hakutakusaidia zaidi ya kukuvuruga tu...

USIIBE, USIUE, USIDANGANYE, USIDHULUMU, USIUDHI, USIFITINISHE, USIFANYE KILA KITU AMBACHO USINGEPENDA KUFANYIWA.. -

Hayo yakuongoze!

Mkuu ni sawa!!,lkn Mtoa mada yupo sahihi sana na huwa inatokea mara nyingi.
 
Ninaandika haya nikiwa na ushahidi wala sio mambo ya kusimuliwa.

Nilipokuwa mdogo, kuna stori za mtaa kwamba Padri flani akikulaani inakupata. Nikawa na wasiwasi juu ya hilo, lakini katika kukua kwangu nikalithibitisha.

1. Padri mmoja alkuwa muda mwingi anatumia kusali. Ilkuwa akitukuta njiani au shuleni anauliza kwanini hujaenda kanisani? Na ikumbukwe hakujui, na ibada zipo 4 na kanisa ni kubwa! Hadi leo ninajiuliza sana uwezo wake.

2. Katika ujenzi wa kanisa hapa Ushirombo, ni miaka ya 90 waljitokeza wafadhil wa Ujerumani katika ujenzi lakini ikaonekana kuna migogoro kwamba wanajenga kwa upendeleo. Iliibua kelele nyingi sana na mwishowe Padre wa Kijerumani akavunja sarafu ya sh 1 mbele ya waumini akasema "Hakuna kanisa hapa", na kweli hadi leo ule mji umechangamka sana lakini hakuna Parokia.

3. Mwaka jana Padri mmoja alifungisha ndoa akasema, "Hii ni ndoa yangu ya kwanza kufungisha, ikitokea mmoja wenu kumwacha mwenzie, na awe mwehu". Leo yule mwanaume ni chizi!

Hebu tujiulize kuna nini kikubwa hapo?

Kweli mkuu!,Kule Maskani kuna Padre yupo Jimbo Katoliki la Njombe,Parokia ya Mlangali ni Mjerumani,Huyu Alipoajiri Watumishi pale Parokiani wengi walimuiibia sana na wakajijenga sana,Wengine walinunua hadi magari lkn cha ajabu hadi leo hii wote wamefilisika ni hakuna mfano,Kuna jamaa alitajirika sana lkn leo hii yupo Jela na alikwenda jela kwa kosa la unyang'anyi kutokana na kuishiwa vibaya zile pesa alizokuwa amemuibia yule Paroko Mzungu.Ninakuunga mkono asilimia mia.
 
shetani naye hutumika kutengeneza ushahidi.. kimsingi anahitaji maombi, hajalaanika.
 
Natamani kuchangia na kukupa jibu lakini siamini maneno yako. Ni fedheha kubwa kujadili kitu usichokuwa na uhakika kama ni kweli kimetokea au 'chai' tu.

Hata kama ni kweli, bado nakushauri achana na hizo mambo mkuu, shughulisha akili yako kwenye vitu vinavyoleta maana. Hayo mauzauza yatakupotezea muda na kukutia hofu tu.

Uhusiano wako na Mungu ubaki kwenye Imani na Matendo yako binafsi, kwake na kwa binadamu wenzio. Kuchunguza watu wengine na matokeo ya wanayoyafanya hakutakusaidia zaidi ya kukuvuruga tu...

USIIBE, USIUE, USIDANGANYE, USIDHULUMU, USIUDHI, USIFITINISHE, USIFANYE KILA KITU AMBACHO USINGEPENDA KUFANYIWA.. -

Hayo yakuongoze!

Mkuu hii ipo really...
Kijjn kwetu kuna ujambaz ulitokea...wakaua mwanf.
Kwenye mazish iliendeshwa ibada ya miguu peku yaan watu hawakuvaa viatu...hii ni laana mbaya sana.
Wale majambaz kilichowapata.....ni siri yao huko walipo....
 
Hii ni qeli kiongozi,nakumbuka kule kijijiji qetu lusala kuna majambazi walimwibia na kumuua paroko msaidiz wa parokia,
hatimaye paroko aliomba wale wezi warudishe mali,na wajisalimishe sivyo itasomwa misa qa ajili yao.Wakakaidi,ikasonwa misa huwez amini wale majambaz walikuwa ni watano na pale kijijini wanafahamika,ila qa kutotii wote walikufa siku moja baada ya misa kusomwa.
 
Hii ni qeli kiongozi,nakumbuka kule kijijiji qetu lusala kuna majambazi walimwibia na kumuua paroko msaidiz wa parokia,
hatimaye paroko aliomba wale wezi warudishe mali,na wajisalimishe sivyo itasomwa misa qa ajili yao.Wakakaidi,ikasonwa misa huwez amini wale majambaz walikuwa ni watano na pale kijijini wanafahamika,ila qa kutotii wote walikufa siku moja baada ya misa kusomwa.

yap ni kweli....ila weng hawajatambua hilo..
 
Hiyo ya tatu duhhhh mbona hatari
Kama ingekua ivyo wengi wangekua wehu
 
Hii ni qeli kiongozi,nakumbuka kule kijijiji qetu lusala kuna majambazi walimwibia na kumuua paroko msaidiz wa parokia,
hatimaye paroko aliomba wale wezi warudishe mali,na wajisalimishe sivyo itasomwa misa qa ajili yao.Wakakaidi,ikasonwa misa huwez amini wale majambaz walikuwa ni watano na pale kijijini wanafahamika,ila qa kutotii wote walikufa siku moja baada ya misa kusomwa.

Mkuu wewe unatokea Lusala ya wapi??.
 
Hiyo ya tatu duhhhh mbona hatari
Kama ingekua ivyo wengi wangekua wehu

Kwa sababu bado huja nenewa.... Hayawez kukupata.... Lkn kama washanena ndo bas tena...
 
Natamani kuchangia na kukupa jibu lakini siamini maneno yako. Ni fedheha kubwa kujadili kitu usichokuwa na uhakika kama ni kweli kimetokea au 'chai' tu.

Hata kama ni kweli, bado nakushauri achana na hizo mambo mkuu, shughulisha akili yako kwenye vitu vinavyoleta maana. Hayo mauzauza yatakupotezea muda na kukutia hofu tu.

Uhusiano wako na Mungu ubaki kwenye Imani na Matendo yako binafsi, kwake na kwa binadamu wenzio. Kuchunguza watu wengine na matokeo ya wanayoyafanya hakutakusaidia zaidi ya kukuvuruga tu...

USIIBE, USIUE, USIDANGANYE, USIDHULUMU, USIUDHI, USIFITINISHE, USIFANYE KILA KITU AMBACHO USINGEPENDA KUFANYIWA.. -

Hayo yakuongoze!

Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom