utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Ni kweli kuwa with Kondom kwa wenye upungufu wa Nguvu za kiume(kuna sababu nyingi za kukosa nguvu za kiume,mfano kama unasex maranyingi kwa wiki,au kama unakunywa sana bia,au kisukari etc)unaweza kutumia zaidi ya dakika 40 bila kufikia climax(kileleni).
Ni kweli wengi wanavuaga Condom kutokana na hili.pia walio wengi awajui jinsi ya kuvaa hizo condom properly so zinaishia kuwa karaha baada ya raha.
kula pipi kwenye kifukoo chake sam taim ngumu!
haaaa we usiseme hivyo vibayaaa,,,,mi bado nakupenda usijizoeshe tabia hiyo ntakuachaaaa????
kross ma heart hope to die sirudii tena! usiniache mamii
sawa habiby wangu!!!sabaha lkheir lakin,,,,vipi ulivyoamka naona alfajiri yote hii uko humu ushasalii???
kuswali ndiko kuliko niamsha mamii.....dhambi nyingi siku hizi wacha tuzipunguze kidogo
that's right my boy...are u muslim or kristian????may allah bless u,,who ever u a...na akupitishe swiratul mustaqim ya raab.?