Nguza viking ft solo thang

Nguza viking ft solo thang

Kabisa, yaani siku hizi tunasikiliza sehemu kubwa ni kelele
Mziki wa siku hizi hauishi yani salome ikipigwa unaweza zima redio, lakini ikipigwa unaniacha hoi- ya langa (rip), witness & shaa unaburudika.
Ikagongwa inaniuma sana watu wananyanyuka kwenye viti.
Dah kila zama na kitabu chake lakini mziki wa zamani bwana ulikuwa mzuri...
 


Old times, keeping good music alive


Katika kipindi ambacho P FUNKY ilikua humwambii kitu kuhusu hip hop mara paaa mzee nguza na gitaa lake huyo anataka kurekodi na vijana wa kileo... Tena remix ya wimbo kama ule? ..P akaweka bangi pembeni na kupiga kazi . . Ulamaa akaambiwa atulize akili asiharibu hadhi ya mzee Nguza.. aagh huu mziki kina P waliufanya kwa mapenzi bana.. sikiliza biti hapo sikiliza gitaa msikilize ulamaa Solo anavyoenda na gitaa..the old good days
 
Katika kipindi ambacho P FUNKY ilikua humwambii kitu kuhusu hip hop mara paaa mzee nguza na gitaa lake huyo anataka kurekodi na vijana wa kileo... Tena remix ya wimbo kama ule? ..P akaweka bangi pembeni na kupiga kazi . . Ulamaa akaambiwa atulize akili asiharibu hadhi ya mzee Nguza.. aagh huu mziki kina P waliufanya kwa mapenzi bana.. sikiliza biti hapo sikiliza gitaa msikilize ulamaa Solo anavyoenda na gitaa..the old good days
Pfunky na bang zake hakumtoa nduki maana nasikia alikuwa na tabia ya kufukuza watu
 
Kuna wimbo uliitwa Kinanda. Benjamin wa Mambo Jambo na Papii Kocha.... Naupataje wakuu
 
Back
Top Bottom