Nguzo inayotoa umeme kwenye transfoma maeneo ya Maringo-Kawe ina hitilafu, TANESCO shughulikieni kabla hatujaongea mengine

Nguzo inayotoa umeme kwenye transfoma maeneo ya Maringo-Kawe ina hitilafu, TANESCO shughulikieni kabla hatujaongea mengine

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Salam Wakuu,

NImepita maeneo hayo asubuhi hii moja ya nguzo inayotoa umeme kwenye transfoma hiyo inatoa mlio ule wa kama kuna shoti. Wenyeji wanasema hali hiyo imeanza toka toka jana mchana lakini mpaka sasa hakuna kilichofanyika.

TANESCO fanyeni hima kushughulikia suala hili lisije likaita tukaanza kuongea mengine wakati mlikuwa na nafasi ya kuwahi mapema na kushughulikia changamoto hiyo.
 
Salam Wakuu,

NImepita maeneo hayo asubuhi hii moja ya nguzo inayotoa umeme kwenye transfoma hiyo inatoa mlio ule wa kama kuna shoti. Wenyeji wanasema hali hiyo imeanza toka toka jana mchana lakini mpaka sasa hakuna kilichofanyika.

TANESCO fanyeni hima kushughulikia suala hili lisije likaita tukaanza kuongea mengine wakati mlikuwa na nafasi ya kuwahi mapema na kushughulikia changamoto hiyo.

Kitengo cha operation cha Tanesco kivunjwe wakabidhiwe watu binafsi kukiendesha(outsource) maana hawafanyi kazi kabisa.
 
Back
Top Bottom