Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Wakazi wa nini apa?
 
Wakazi wa nini humu anzisha mada yake
 
Mziki haulipi bongo🤣hata Domo na crew yake walibeba Sana sembe enzi za kikwete na ndiyo iliyomtajirisha Domo,ngwea ile ilikuwa ajali kazini tu,so usimseme hata hao punda wengine walikuwa na wafadhili wa kuwavusha eapot kirahisi tu,ndo pona yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…