Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngwea:
ishakuwa soo mtaani kashfa kibao, ngwea nshaamua sasa milupo NO, nahitaji honey, mwandani aendani nami, kuanzia tabia mpaka vitu flani, yaani ikiwezekana apandishe mpaka majani na asiwe anaboreka anapokuwa nami, awe
Daz Baba:
Mwenye lips paana...
Ngwea:
Ndio moja ya vitu ambavyo vinanchanganya sana na
Daz Baba:
Akicheka ana mwanya
Ngwea:
Sintokuwa na la kufanya zaidi ya kumpenda sanA...Ngwea
unamaanisha.... Wife ndo nyimbo ilowatoa??????
Ukimuona daz baba aka daz mwalim utatamani macho yako yawe yamekudanganya boooonge la teeeja duh kikwete anakaz na hawa wasanii wenzie