Huyu ni kijana kweli au Vijana wamepigwaNamjua huyu dada Mwanasheria Msomi. VERY VERY BRIGHT. Sijawahi kutana na mwanasheria anaejua sheria kama huyu mtoto. Sijui Ubunge utamfanya astop kupractice. N'gwasi Kamani nakukubali sana.
Muulizeni Kigogo anamtambua vizuri alimwelezea wiki mbili zilizopita twitterAnajitambua sana huyu dada. Jina lake nafikiri ni Ng'washi na wala si Ng'wasi.
Angekuwa anatumia taaluma yake bungeni pale katiba inapokanyagwa tungeuona Hui usomi kimatendo.Namjua huyu dada Mwanasheria Msomi. VERY VERY BRIGHT. Sijawahi kutana na mwanasheria anaejua sheria kama huyu mtoto. Sijui Ubunge utamfanya astop kupractice. N'gwasi Kamani nakukubali sana.
Alisema kuhusu huyu Kijana? hebu tupia hapa.Muulizeni Kigogo anamtambua vizuri alimwelezea wiki mbili zilizopita twitter
Wakati "tozo za kizalendo" zinapitishwa bungeni alikuwa ameenda kukojoa?Ng'washi / Ng'wasi huyu Mbunge ni kichwa sana Mwanasheria Msomi ,atafika mbali sana
Hongera zake
Tangu bunge lianze amepeleka hoja gani ya kisheria au ameongelea jambo gani la kisheria!!Ng'washi / Ng'wasi huyu Mbunge ni kichwa sana Mwanasheria Msomi ,atafika mbali sana
Hongera zake