Good but not kenyan news.NHC has secured $2Bloan for its new Kawe Satellite City.View attachment 546833View attachment 546835 View attachment 546843View attachment 546844 View attachment 546845View attachment 546846 View attachment 546850View attachment 546855 View attachment 546856View attachment 546857 View attachment 546860View attachment 546861 View attachment 546862
Sio chini ya Magufuli na Lukuvi. Trust me it wont.Hapo watu watakula sana,hiyo pesa inaweza kujenga dar es salaam tatu,
wao wanajengea kitongoji kimoja
Sio chini ya Magufuli na LukuviNitarifa nzuri lakini mafisi yatatafuna nusu ya hio pesa
Hili ni deni la shirika la kibiashara, sio Serikali. Kuna tofauti kati ya kucheza kamali na shirika moja na kucheza kamali na nchi nzima. Nyinyi mlishauza nchi yenu kwa Mchina subirini siku wakija kubadilisha makufuli.
Ukijengewa mtizamo wa kutojiamini huwezi kuwaamini wengineHapo watu watakula sana,hiyo pesa inaweza kujenga dar es salaam tatu,
wao wanajengea kitongoji kimoja