Tetesi: NHC na TBA kuunganishwa na kuwa taasisi moja

Tetesi: NHC na TBA kuunganishwa na kuwa taasisi moja

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
987
Reaction score
766
Wanabodi..!
Kuna uvumi unaendelea mtaani juu ya hizi taasisi mbili kuu za uma zinazojishughulisha na masuala ya uendelezaji wa milki hapa nchini Tanzania kuweza kuunganishwa na kuwa taasisi moja...!

Mwenye taarifa zaidi juu ya hili atujuze na nini mtazamo wako endapo taasisi hizi zikiungana na kuwa chombo kimoja...!

NB: TBA ni Tanzania Building Agency ; NHC ni National Housing Corporation

Nawasilisha
 
Wanabodi..!
Kuna uvumi unaendelea mtaani juu ya hizi taasisi mbili kuu za uma zinazojishughulisha na masuala ya uendelezaji wa milki hapa nchini Tanzania kuweza kuunganishwa na kuwa taasisi moja...!

Mwenye taarifa zaidi juu ya hili atujuze na nini mtazamo wako endapo taasisi hizi zikiungana na kuwa chombo kimoja...!

NB: TBA ni Tanzania Building Agency ; NHC ni National Housing Corporation

Nawasilisha
Ni sawa tu kwani mmiliki wa majengo yote hayo ni serikali!
 
Wanabodi..!
Kuna uvumi unaendelea mtaani juu ya hizi taasisi mbili kuu za uma zinazojishughulisha na masuala ya uendelezaji wa milki hapa nchini Tanzania kuweza kuunganishwa na kuwa taasisi moja...!

Mwenye taarifa zaidi juu ya hili atujuze na nini mtazamo wako endapo taasisi hizi zikiungana na kuwa chombo kimoja...!

NB: TBA ni Tanzania Building Agency ; NHC ni National Housing Corporation

Nawasilisha
vipi kuhusu DAWASA na DAWASCO,maana hawa hata tofauti yao haijulikani,mmoja hana kazi ya kufanya lkn yupo mwingine yupo busy sana!
 
Hawawezi kuunganishwa - mmoja anajenga kwa ajili ya serikali (TBA) - mwingine anajenga kwa ajili ya biashara (NHC). Hivyo malengo na mtazamo (vision & Mission) ni tofauti.
 
vipi kuhusu DAWASA na DAWASCO,maana hawa hata tofauti yao haijulikani,mmoja hana kazi ya kufanya lkn yupo mwingine yupo busy sana!
Kuna vitu vingi vilitakiwa kuwa Pamoja kama TFDA, TBS, TRA, BRELA na HALMASHAURI
Ndio maana kufungua business Tanzania inakuwa ngumu Sana na wengi wanakwepa kwa sababu ya milolongo ipo mingi sana
 
Back
Top Bottom