NHC wana mradi mzuri wa ujenzi wa nyumba. Hivi kwanini wasingejenga ghorofa (condominiums) badala ya nyumba za kawaida (za chini) ambazo zinakula maeneo ya ardhi kuliko ghorofa ambaz0 ujenzi wake unahifadhi ardhi kwa sababu zinakwenda juu lakini zinachukua wakazi wengi? Pia ghorofa zinaleta shepu nzuri ya maeneo ya makazi vilevile.