DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Inakuwaje napokea taarifa za kutumika kwa kadi yangu ya bima ya afya wakati sijaenda hospital na kadi ninayo?
Tarehe 11 mwezi huu nimeenda hospital X nimepatiwa huduma na nimepata notification msg kuwa kadi yangu imetumika katika hospitali hiyo, nimechukua kadi yangu nimeondoka nayo.
Leo tarehe 13 natumiwa msg nyingine kuwa kadi imetumika saa 3 asubuhi katka hospitali hiyohiyo wakati nipo nyumbani nimetulia sijaenda popote, hii inaitwaje kitaalamu?
Naombeni ufafanuzi maana nawapigia kutoa taarifa ya kutotambua huo muamala hampokei simu, wasije wakanibambika magonjwa ya ajabu mimi huko!
Tarehe 11 mwezi huu nimeenda hospital X nimepatiwa huduma na nimepata notification msg kuwa kadi yangu imetumika katika hospitali hiyo, nimechukua kadi yangu nimeondoka nayo.
Leo tarehe 13 natumiwa msg nyingine kuwa kadi imetumika saa 3 asubuhi katka hospitali hiyohiyo wakati nipo nyumbani nimetulia sijaenda popote, hii inaitwaje kitaalamu?
Naombeni ufafanuzi maana nawapigia kutoa taarifa ya kutotambua huo muamala hampokei simu, wasije wakanibambika magonjwa ya ajabu mimi huko!