trh 14,15,17,23 na 24 mwezi huu wa 8! ni tarehe ambazo kutakuwa na written interview kwa nafasi mbalimbali zilizoombwa nhif. wengini ni wageni jamani na dsm. huko BARAZA LA MAASKOFU ndo mitaa ya wapi, tuelekezane ndugu zangu na kwa wale wataoanza trh za mwanzo interview tuwe tunapeana update kipi kitakuwa kinaendelea. natanguliza shukrani kwa hili.