NHIF kuna shida gani?

NHIF kuna shida gani?

MIKETHON1991

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
78
Reaction score
56
Habari wakuu,

Nitakwenda moja kwa moja kwenye mada. Tulikuwa tukielekezwa kuwa unapojiunga na huduma ya NHIF utakuwa unachangia kiasi fulani kila mwezi kwa walio na vigezo. Pamoja na kuchangia pia, utakuwa na nafasi ya watu wengine wa karibu (I guess 4) kunufuika kupitia uchangiaji wako: mfano mama/baba, mke/mume, na watoto.

Hivi karibuni imetokea tumeelekezwa kwamba kama mimi nina bima ya NHIF nilioipata kupitia mzazi wangu au mke ambao hadi leo bado wanachangia basi kwa kuwa nimeajiriwa saivi nami natakiwa kuchangia.

Maswali ninayojiuliza:

1. Lengo la bima ya NHIF ni kila mwananchi kuwa na kadi ya bima au kila mmoja kuchangia?
2. Kama nilieajiriwa saivi nikianza kuchangia nitapatiwa kadi nyingine mpya au hii niliyoipata kupitia wazazi wangu/mke/mume nitaendelez kuitumia?
3. Je, hivi sasa nimekosa sifa ya kuwa mnufaika kupitia wazazi/mke/mume?
4. Kama ni sheria mpya inamanisha nini?

Tafadhali naomba ufafanuzi kwa kadiri ya miongozo ilivyo.
 
Umeajiriwa bado unategemea wazazi? Hoja yako Ni ipi?
 
Unapaswa kuachana na bima ya wazazi uanzr yako sasa
mke anaweza kunufaika bima kupitia mume wake na mume anaweza nufaika kupitia mke wake.
hii ndivyo ninavyoelewa kwa mujibu wa sheria. sasa inapotokea wote watakiwe kuchangia hauoni kuwa ni kinyume na sheria (kama haijabadilishwa)
 
Sasa umeajiriwa unataka uendelee kutumia kadi ya wazazi? Pambana kivyako
nadhani mada hujailewa kidogo. nimependekeza ushauri utolewe hapo kwa kuzingatia miongozo na kama kuna utaratibu mpya pia tujuzane
 
mke anaweza kunufaika bima kupitia mume wake na mume anaweza nufaika kupitia mke wake.
hii ndivyo ninavyoelewa kwa mujibu wa sheria. sasa inapotokea wote watakiwe kuchangia hauoni kuwa ni kinyume na sheria (kama haijabadilishwa)
Kama Ni kinyume Cha Sheria fungua kesi mahakaman udai haki yako
 
Habari wakuu,

Nitakwenda moja kwa moja kwenye mada. Tulikuwa tukielekezwa kuwa unapojiunga na huduma ya NHIF utakuwa unachangia kiasi fulani kila mwezi kwa walio na vigezo. Pamoja na kuchangia pia, utakuwa na nafasi ya watu wengine wa karibu (I guess 4) kunufuika kupitia uchangiaji wako: mfano mama/baba, mke/mume, na watoto.

Hivi karibuni imetokea tumeelekezwa kwamba kama mimi nina bima ya NHIF nilioipata kupitia mzazi wangu au mke ambao hadi leo bado wanachangia basi kwa kuwa nimeajiriwa saivi nami natakiwa kuchangia.

Maswali ninayojiuliza:

1. Lengo la bima ya NHIF ni kila mwananchi kuwa na kadi ya bima au kila mmoja kuchangia?
2. Kama nilieajiriwa saivi nikianza kuchangia nitapatiwa kadi nyingine mpya au hii niliyoipata kupitia wazazi wangu/mke/mume nitaendelez kuitumia?
3. Je, hivi sasa nimekosa sifa ya kuwa mnufaika kupitia wazazi/mke/mume?
4. Kama ni sheria mpya inamanisha nini?

Tafadhali naomba ufafanuzi kwa kadiri ya miongozo ilivyo.
NHIF na wewe wote mna hoja za msingi sana,kaeni mezani mtapata muafaka mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Ni kinyume Cha Sheria fungua kesi mahakaman udai haki yako
Taratibu..Kunakitu mchangiaji mmoja amekieleza. Kama mume au mke anafaidika na uchangiaji wa mmoja wapo. Kwanini sheria za NHIF zisiwe rafiki, ikiwa wote ni wafanyakazi( kumbuka serikalini ni lazima unkatwa kila mwezi) akatwe moja wapo?
 
Kuna tatizo kubwa kwa NHIF kwa wanufaika wake, kwa mfano mke ana kazi, mume anayo kazi lakini wote wanakatwa bima kila mwezi. Wakati huo huo mteja hatakiwi kumchangia mwanachama ambaye si mtoto wala mzazi! Kua tatizo, NHIF inaendeshwa na wafanyakazi wa serikali ndiyo maana kuna mkanganyiko huu
 
Wanahamasisha bima wakati huduma zenyewe ni shida kuna siku nilikalishwa mapokezi about 1 hour, wakati huo huo kuna watu walikaa 3hours
 
Back
Top Bottom