DOKEZO NHIF kuweni macho, baadhi ya Shule zinatapeli wazazi kupitia Bima ya Afya Toto Card

DOKEZO NHIF kuweni macho, baadhi ya Shule zinatapeli wazazi kupitia Bima ya Afya Toto Card

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Blasio Kachuchu

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
366
Reaction score
243
Habari NHIF,
Mimi naomba kutoa malalaniko yangu kwa hizi shule za msingi ambazo mlipeleka uratibu wa Bima Shuleni (Afya Toto Card)... tuchukulie mashuleni. Ila kinachonisikitisha ni jinsi hizi shule zimeona hilo ni dili na kujipangia bei badala ile elekezi ya 50,400 wao wameweka 65,000/= wanawachaji wazazi.

Nina mifano halisi ya shule kadhaa kama Fountain Of Joy Pre&Primary School ya Mbezi Mwisho wao wanataka wazazi walipe 65,000/= jambo ambalo si sawa. Jiulize 14,600/= inakwenda wapi??

Jifikirie kwa watoto 100 wanavuna hela ngapi? Huu ni utapeli kwa wawazi kabisa. Hili suala wahusika NHIF kama mmeshindwa utaribu wa hili jambo angalieni namna ya kusolve tatizo, watu wanajivunia hela kupitia nyingi.

Waziri Jenista wapange watu wako huku wazazi tunaibiwa.

20241228_082201.jpg
 
Back
Top Bottom