NHIF Tabora ni jipu

Nesi1

Member
Joined
Dec 14, 2023
Posts
21
Reaction score
19
NHIF mkoa wa Tabora wanasumbua sana wafanyakazi wanaongoza kwa kuomba rushwa, pia wanalazimisha na mwenza wake awe namba ya NIDA

Huu mfuko tunauchangia lakini masharti yamekuwa mengi lakini kila mwezi mnachukua pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…