KERO NHIF wanapaswa kujua sio kila mtegemezi anafanana majina sawa na mchangiaji hasa upande wa wazazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Laiswa

Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
61
Reaction score
94
Juzi nimejaribu kujaza taarifa za wazazi ili waweze kupata bima ya afya lakini nilirudishwa kwa sababu zifuatazo:

Majina ya mama anatumia majina ya baba baada ya kufunga Ndoa.

Majina ya Baba yalikosewa NIDA badala ya kuitwa SAMWEL likandikwa SAMUEL.

NHIF wamesau hata kuwa bima ya afya ni agenda ya wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…