Habarini wanajamvi natumaini mpo salama.
Kuna hii ishu ya NHIF kuwahi kukatisha muda wa subscription ya BIMA za wanafunzi wa chuo cha UDSM ambapo BIMA zilitakiwa ziishe mwezi wa 11 badala yake zimekatishwa na kumalizia Oktoba 8.
Hii imeleta changamoto kwa watumiaji wa Bima hizi kwani wengi wao hulipia bima zao baada ya mwaka wa masomo kuanza .
Binafsi nimetokea kuchukizwa sana na jambo hili kwani hii ni dhuluma ya pesa ya mtanzania
Kuna hii ishu ya NHIF kuwahi kukatisha muda wa subscription ya BIMA za wanafunzi wa chuo cha UDSM ambapo BIMA zilitakiwa ziishe mwezi wa 11 badala yake zimekatishwa na kumalizia Oktoba 8.
Hii imeleta changamoto kwa watumiaji wa Bima hizi kwani wengi wao hulipia bima zao baada ya mwaka wa masomo kuanza .
Binafsi nimetokea kuchukizwa sana na jambo hili kwani hii ni dhuluma ya pesa ya mtanzania