NHIF yasema baadhi ya hospitali huwaandikia wagonjwa wenye bima dawa zisizo sahihi. Hii ni hatari kwa afya, ni sawa na kuwanywesha sumu

NHIF yasema baadhi ya hospitali huwaandikia wagonjwa wenye bima dawa zisizo sahihi. Hii ni hatari kwa afya, ni sawa na kuwanywesha sumu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mh. Konga amesema taasisi yake imebaini madaktari wanawaandikia wagonjwa dawa zisizo sahihi na huu ni uhujumu uchumi.

Konga amesema mtu anapokunywa dawa isiyostahili anakuwa amekunywa sumu hivyo hospital zinazofanya mchezo huu zitashughulikiwa na wizara.

Aidha Konga amesema hospital hizo zitalazimika kurudisha fedha zote walizolipwa isivyo halali.

Source: ITV
 
Tanzania tunalishwa very damn news reports

Kwamba madaktari ni wezi au hawajui madawa au ni vipi yani?

Kwa nini yeye NHIF ndio anajua zaidi madwa, yeye ni healthcare regulator?

If anything WAO NHIF ndio wana masharti kwa madaktari kuandika dawa cheap and cheesy
 
Tatizo Hilo ni dogo.

Huko NHIF wafanyakazi mnajikopesha pesa zetu nyingi bila ribs hatimae mfuko unashindwa kutuhudumia.

Wafanyakazi NHIF ndio mnaufilisi mfuko alafu unawafanyakazi wengi wasiojua hata majukumu Yao.

Pia inawezekana mnahusiano mkubwa na hospital binafsi.

Form zikijazwa huko kuwa rejected hakuna ila hospitals za serikali rejection nyingi sana
 
Pesa zikirudishwa, vipi afya za watu walioathirika kwa kutumia dawa ambazo si zenyewe?

Hiyo health damage nani atawajibika?

Mawakili wa Tz, wanashindwa kuchukua kesi hapo?
 
Na hivyo vitengo mlivyonavyo huko inatakiwa kufanyiwa assessment. Yaani manina nyie muwe wataalam kuliko waliopo field? Acheni kuzingua. Mnakera ssna
 
NHIF kwenye ofisi zenu mnajivuna sana mnaona nyie ndio watumishi mliotukuka, hasa ofisi za mkoani Dar es Salaam, wengi hamna customer. Care full dharau, nafikiri hizo kazi wengi hamkuzisotea, mlipewa mezani, na hao JKT wanajiona sehemu ya wanataaluma ya utoaji huduma kumbe ni securities.
 
NHIF kilaza tu Tena mlevi unapeleka form anataka kurekebisha ni ujinga was halo yajuu. Halafu mtu mwenyewe kasoma certificate ya computer.

Wanakera sana
Hawana IT utakuta umejaza fomu au una renew kadi, control number utasuniri haitoki, wanakwambia tutakutumia sms ya control number ukalipie, sms utakaa wiki 3 hunioni. Hadi urudi ofisini kwao uifuate, ndio uipate ulipie. Siku moja nikawauliza hivi mtu ambaye anaishi nje ya mji, kijijini awe anashinda ofisini kwenu kufuatilia control number.

Ule msongamano kwenye ofisi zao asilimia kubwa ni wa kujiunda tu na urasimu uliozoeleka government office.
 
Tanzania tunalishwa very damn news reports

Kwamba madaktari ni wezi au hawajui madawa au ni vipi yani?

Kwa nini yeye NHIF ndio anajua zaidi madwa, yeye ni healthcare regulator?

If anything WAO NHIF ndio wana masharti kwa madaktari kuandika dawa cheap and cheesy
Ummi anahangaika sana na huu mfuko sijui anatka nini
 
Yaani mtu akianza kucheza na sekta ya afya huwa nakosa amani ya moyo kabisa Kuna mambo sio ya kuleta siasa uchara Kama uchambuzi wa mpira wa Simba na Yanga
 
NHIF naona wameishiwa hoja sasa.

Mfuko unafilisika, hakuna namna ya kuunusuru wanatafuta watu wa kuwalaumu.

Mnajilipa mshahara mkubwa na posho nyingi alafu mfuko umeanza kufilisika mnadhani wahudumu ndo wanawaibia?

Miaka iliyopita hao madaktari walikuwa hawahujumu Ila leo ndo wameanza kuhujumu? None sense kabisa.

Kama mnaona mnahujumiwa na watoa huduma wa afya, ajirini madaktari wenu mahospitalini ili wawe wanahudumia wanachama wenu wa NHIF.
 
Tanzania tunalishwa very damn news reports

Kwamba madaktari ni wezi au hawajui madawa au ni vipi yani?

Kwa nini yeye NHIF ndio anajua zaidi madwa, yeye ni healthcare regulator ????

If anything WAO NHIF ndio wana masharti kwa madaktari kuandika dawa cheap and cheesy
Punguza makasiriko..hoja unafunikwa na makasiriko yako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom