Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Hatua hii ni inatokana na Serikali kupitia Wizara ha Afya kuendelea na mazungumzo na Hospitali hiyo juu ya utoaji wa huduma kwa Wanachama wa NHIF.
Kutokana na hayo, Wanachana wa NHIF wanaweza kuendelea kuendelea kupata huduma katika Vitup vya Aga Khan kwa utaratibu uliokuwepo awali au kutumia vituo vingine vilivyosajiliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Soma Pia: