ilikuwa tar 7.mwez ulopita baadh ya ndugu na rafik kibao walifanya interview kwenye hili shirika,then vp kuna m2 ana detailz zozote juu ya zile chance pale?je washachukua wa2?
Unajua nini ndugu zangu ma-HR wa hapa Tz ni wap@ kwa sababu zile zilikuwa temporary opportunities za kuprocess ids. Vyuo walishafungua tangia oct na wengine wameshapewa. Sasa hizo ids ni za akina nani! JARIBUNI KUVUMILIA TUU NA KUJIPA MOYO