Shida ya Simba inasajiri wachezaji magalasa halafu inawapa sifa nyingi ili waonekane Bora. Ahoua wanamwita MVP ila kiuhalisia Ahoua hata hawezi kisajiliwa na Kengold. Ni mchezaji wa hovyo. Siku Simba tukiwa serious kwenye usajili na kuacha utapeli tutafika mbali.