Ni Afadhali!

Ni Afadhali!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ni Afadhali!



Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
(Mithali 21:9)

 
Huyo jamaa anaishi hapo au ndo alikuwa anarekebisha hapo sehemu iliyoezuliwa na upepo, MAANA SIJAONA MIFUKOMIFUKO YA rambo JIRANI YAKE!
By ze way, Mke akiwa mkorofi ndani, utatamani urudi saa ambazo yeye alishalala, na uondoke kabla hajaamka. Unakuta kazini panakuwa na faraja kuliko nyumbani...lol!
 
Huyo jamaa anaishi hapo au ndo alikuwa anarekebisha hapo sehemu iliyoezuliwa na upepo, MAANA SIJAONA MIFUKOMIFUKO YA rambo JIRANI YAKE!
By ze way, Mke akiwa mkorofi ndani, utatamani urudi saa ambazo yeye alishalala, na uondoke kabla hajaamka. Unakuta kazini panakuwa na faraja kuliko nyumbani...lol!


na waume zetu wakiwa wakorofi ndani tufanyaje, lilevi, gubu nk.
 
Back
Top Bottom