Elections 2010 Ni aibu JK kushinda kwa 55% anataka atleast 75%

Elections 2010 Ni aibu JK kushinda kwa 55% anataka atleast 75%

Wa Ndima

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2010
Posts
1,526
Reaction score
323
Habari nilizozipata ni kuwa eti JK ameshinda kwa asilimia 55 hivyo yeye na serikali yake wameshinikiza watangazwe wameshinda kwa atleast 75%
 
Habari nilizozipata ni kuwa eti JK ameshinda kwa asilimia 55 hivyo yeye na serikali yake wameshinikiza watangazwe wameshinda kwa atleast 75%
Wa Ndima, subiri kidogo, matokeo ya mwisho kabisa ndio yanatangazwa sasa, hivyo ukweli utajulikana soon!.
 
yaani hiyo 55% ni baada ya kuchakachua matokeo, hii ina maana alikuwa chini ya hapo. Sasa anataka atangazwe kwa zaidi ya 75%
 
JK anaongoza kwa 60 percent. It is bound to go up to 68 or 75 subiri
 
yaani hiyo 55% ni baada ya kuchakachua matokeo, hii ina maana alikuwa chini ya hapo. Sasa anataka atangazwe kwa zaidi ya 75%

Kuna mtu hapa alisema kuwa CIA walimwambia JK kuwa hata baada ya uchakachuaji wao Slaa angeshinda kwa 54.6 %. Naona usalama wa taifa wameoneza uchakachuaji zaidi kumpa hiyo 55 % JK. Ni dhahiri kuwa JK alikuwa ameshindwa na Dr. Slaa kwenye uchaguzi huu.
 
Back
Top Bottom