Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam.
Zaidi ya miaka 60 tangu Tanzania iwe chini ya mtawala CCM lakini kila uchaguzi mpaka leo ahadi za CCM ni kuleta maji, kujenga barabara na kujenga zahanati.
Ni wakati sasa watanzania mmshituke kuhusu hizi ahadi maana hazitekelezeki mpaka itafika miaka 100 bado hakutakua na hizo huduma na umasikini ndo unaongezeka katika kaya zetu na vijiji.
Siku zote wajinga ndo waliwao na CCM,sijui watanganyika mtafanywa wajinga hadi lini hebu zindukeni CCM ni janga la taifa hili.
Ova.
Zaidi ya miaka 60 tangu Tanzania iwe chini ya mtawala CCM lakini kila uchaguzi mpaka leo ahadi za CCM ni kuleta maji, kujenga barabara na kujenga zahanati.
Ni wakati sasa watanzania mmshituke kuhusu hizi ahadi maana hazitekelezeki mpaka itafika miaka 100 bado hakutakua na hizo huduma na umasikini ndo unaongezeka katika kaya zetu na vijiji.
Siku zote wajinga ndo waliwao na CCM,sijui watanganyika mtafanywa wajinga hadi lini hebu zindukeni CCM ni janga la taifa hili.
Ova.