Ni aibu kwa JK kuendelea kuwa kimya kwa malalamiko yote haya ya wananchi

Ni aibu kwa JK kuendelea kuwa kimya kwa malalamiko yote haya ya wananchi

mkongo

Member
Joined
Nov 21, 2009
Posts
19
Reaction score
9
Wajameni, Pamoja na kuvurunda serikali na mawaziri wake, hii ni pamoja na baadhi ya kauli za viongozi zinazotetea mafisadi... nimuweke JK kwenye nafasi gani? Hii inaonyesha moja kwa moja kwamba na yeye ni fisadi na anashirikiana na mawaziri wake kutetea usifadi. Sio lazima kugombea kipindi cha pili kama umeshindwa kazi achia ngazi wengine wenye huruma na nchi na watanzania wafanye kazi. Ni hayo tu wajameni.
 
malalamiko magazetini hayamsumbui mwanasiasa labda mashinikizo kwa maandamano
 
Wajameni, Pamoja na kuvurunda serikali na mawaziri wake, hii ni pamoja na baadhi ya kauli za viongozi zinazotetea mafisadi... nimuweke JK kwenye nafasi gani? Hii inaonyesha moja kwa moja kwamba na yeye ni fisadi na anashirikiana na mawaziri wake kutetea usifadi. Sio lazima kugombea kipindi cha pili kama umeshindwa kazi achia ngazi wengine wenye huruma na nchi na watanzania wafanye kazi. Ni hayo tu wajameni.



Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
1. Idadi ya migomo....(hadi wa primary walimgomea)
2. Polisi walishawahi kutishia kugoma..........
3. Walimu........
4. Wanafunzi..........
5. Rushwa imepanda............
6. Mfumuko wa bei (toka mafuta hadi vyakula).........
7. Load lisences bei juu..........
8. Mafisadi...........
9. Mikataba..............
10. endeleeeaaaaaaaaaaa..........
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.


KAKA NADHANI WEWE UPO KUNDI LA AKINA LOWASA, HAKUNA HAJA YA TAFITI KUJUA KAMA JK a.k.a Mzee wa Bembea KUWA NCHI IMEMSHINDA.
ANGALI HATA MFUMKO WA BEI, THAMANI YA FEDHA YETU. NADHANI INATOSHA MWAKANI AKACHEZE NGOMA KWAO BAGAMOYO AU APEWE UWAZI WA UTALII.
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Mtu akipenda bwana, Chongo kwake huona ni kengeza!!!!!
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Nyuki usiwe na ugonjwa wa kupenda! Yameorodheshwa na watu wengi mapungufu ya serikali ya Jakaya wala sina haja ya kuyarudia lakini kwa maradhi ya kupenda uliyonayo unaona hata hizo sekondali za YEBO YEBO zilizotapakaa kwenye kata, zisizokuwa na waalimu wala vifaa ni ushahidi wa achievements za muungwana; not to mention a mushroom of heath centres with neither medicines nor attendants!!
 
Nyuki usiwe na ugonjwa wa kupenda! Yameorodheshwa na watu wengi mapungufu ya serikali ya Jakaya wala sina haja ya kuyarudia lakini kwa maradhi ya kupenda uliyonayo unaona hata hizo sekondali za YEBO YEBO zilizotapakaa kwenye kata, zisizokuwa na waalimu wala vifaa ni ushahidi wa achievements za muungwana; not to mention a mushroom of heath centres with neither medicines nor attendants!!

Nafikiri umeshapata majibu Nyuki... acha kupenda utaona yote.
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

hakuna lolote ni uozo tu. Niambie ni kipi serikali ya Kikwete itajivunia ktk hiimiaka 5??
  1. TRL uozo
  2. IPTL uozo
  3. Richmond uozo
  4. mikataba ya madini uozo
  5. Kiwira uozo
  6. n.k.
sasa hii serikali itajivunia lipi??
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Nani asie jua familia yako inafaidika na mzee wa kubembea? au niweke data hapa?
 
Nyuki said:
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.



Nani asie jua familia yako inafaidika na mzee wa kubembea? au niweke data hapa?

Mkuu hebu weka data make hawa ndo wanatetea ujinga wa mafisadi wa CCM.
 
Rais TZ ni pambo, Bunge ni Pambo, Baraza la Mawaziri ni Pambo. Tanzanians are the people in this great planet who can live without LEADERSHIP (president, government, parliament) and get away with it.

One day we will have a president!
 
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Hana lolote la maana alilofanya. Amevurunda tu. Hii inadhihirisha zaidi ya 80% ya watanzania waliopiga kura 2005 walikuwa ni WAPUUZI
 
1. Idadi ya migomo....(hadi wa primary walimgomea)
2. Polisi walishawahi kutishia kugoma..........
3. Walimu........
4. Wanafunzi..........
5. Rushwa imepanda............
6. Mfumuko wa bei (toka mafuta hadi vyakula).........
7. Load lisences bei juu..........
8. Mafisadi...........
9. Mikataba..............
10. Endeleeeaaaaaaaaaaa..........

11. Fire extinguishers.....uozo mtakatifu!
 
hakuna lolote ni uozo tu. Niambie ni kipi serikali ya Kikwete itajivunia ktk hiimiaka 5??
  1. TRL uozo
  2. IPTL uozo
  3. Richmond uozo
  4. mikataba ya madini uozo
  5. Kiwira uozo
  6. n.k.
sasa hii serikali itajivunia lipi??

Sina uhakika kama Kiwira, mikataba ya madini, plus IPTL ni vya kikwete. Ni vizuri kufanyia research hoja zenu kabla ya kuandika. Cha kujivunia anacho. Chuo kikuu cha Dodoma hujakiona?
 
1. Idadi ya migomo....(hadi wa primary walimgomea)
2. Polisi walishawahi kutishia kugoma..........
3. Walimu........
4. Wanafunzi..........
5. Rushwa imepanda............
6. Mfumuko wa bei (toka mafuta hadi vyakula).........
7. Load lisences bei juu..........
8. Mafisadi...........
9. Mikataba..............
10. endeleeeaaaaaaaaaaa..........
Load Lisences ndo nini mkuu?
Mkapa anamakosa mengi kuliko Kikwete, Kikwete ni Chaguo la Mungu!
 
Back
Top Bottom