Wajameni, Pamoja na kuvurunda serikali na mawaziri wake, hii ni pamoja na baadhi ya kauli za viongozi zinazotetea mafisadi... nimuweke JK kwenye nafasi gani? Hii inaonyesha moja kwa moja kwamba na yeye ni fisadi na anashirikiana na mawaziri wake kutetea usifadi. Sio lazima kugombea kipindi cha pili kama umeshindwa kazi achia ngazi wengine wenye huruma na nchi na watanzania wafanye kazi. Ni hayo tu wajameni.
70% inatosha sana kama wote tutafuata upepo wa kumuondoa..........Ameshasema asilimia 70 mnafuata upepo!
1. Idadi ya migomo....(hadi wa primary walimgomea)Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Nyuki usiwe na ugonjwa wa kupenda! Yameorodheshwa na watu wengi mapungufu ya serikali ya Jakaya wala sina haja ya kuyarudia lakini kwa maradhi ya kupenda uliyonayo unaona hata hizo sekondali za YEBO YEBO zilizotapakaa kwenye kata, zisizokuwa na waalimu wala vifaa ni ushahidi wa achievements za muungwana; not to mention a mushroom of heath centres with neither medicines nor attendants!!
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Nyuki said:Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
Nani asie jua familia yako inafaidika na mzee wa kubembea? au niweke data hapa?
Mkuu unauhakika amevurunda au unaongea bila kuwa na utafiti wa kina?tafadhali jaribu kuwa makini katika kutoa maoni yako kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.
1. Idadi ya migomo....(hadi wa primary walimgomea)
2. Polisi walishawahi kutishia kugoma..........
3. Walimu........
4. Wanafunzi..........
5. Rushwa imepanda............
6. Mfumuko wa bei (toka mafuta hadi vyakula).........
7. Load lisences bei juu..........
8. Mafisadi...........
9. Mikataba..............
10. Endeleeeaaaaaaaaaaa..........
hakuna lolote ni uozo tu. Niambie ni kipi serikali ya Kikwete itajivunia ktk hiimiaka 5??
sasa hii serikali itajivunia lipi??
- TRL uozo
- IPTL uozo
- Richmond uozo
- mikataba ya madini uozo
- Kiwira uozo
- n.k.
Load Lisences ndo nini mkuu?1. Idadi ya migomo....(hadi wa primary walimgomea)
2. Polisi walishawahi kutishia kugoma..........
3. Walimu........
4. Wanafunzi..........
5. Rushwa imepanda............
6. Mfumuko wa bei (toka mafuta hadi vyakula).........
7. Load lisences bei juu..........
8. Mafisadi...........
9. Mikataba..............
10. endeleeeaaaaaaaaaaa..........