Ni aibu kwa klabu kubwa Kama Simba Sc kupiga magoti na kuanza kubembeleza mchezaji

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Suala la Chama si suala la kuchekea bali ni suala la udhariri kwa timu kubwa Kama Simba Sc kubembeleza mchezaji.

Hii haileti picha nzuri kuanzia benchi la ufundi mpaka kwa wachezaji, ni suala ambalo linaharibu saikolojia ya wachezaji kwa ujumla.

Viongozi wanapiga magoti na kulia Lia inafikia hatua wengine wanamwambia chama kuwa "angalia mashabiki wanavyokupenda utawaumiza''

Huu NI upuuzi mchezaji kujiona mungu/malaika na Hili linaletwa na viongozi wasiojitambua na wasiojua Nini maana ya mkataba.


 
Vipi suala la pre season, kwenda kwa mafungu,kocha mkuu wala msaidizi kutokuwepo, nayo iigwe na timu zingine?
Una Fabrice Ngoma, una Onana, una Kramo, una Che Malone, una Chama, una Moses Scars Phiri, una Saido, una Mzamiru, una Kanoute, una Kapombe, una Enonga, una Zimbwe.

Mpaka hapo kocha wa kazi gani?


Na hapo ukumbuke bado kuna vyuma vingine bado vipo ku-download soon vitatambulishwa.

Mi sioni pengo la kocha kwa kikosi hiki
 
Kuwa na akiba ya maneno mkuu
 
Swala la Chama limemalizwa kwa misimamo

Simba ndio Club pekee ambayo Club zingine zinaiangalia kama idol zinapotaka kufanya mambo ki smart
Kocha yupo kwao pre season haina kocha kwahiyo kocha ni bocco?
 
Msimu ukianza gsm anahonga marefa
Una maanisha hii?

Your browser is not able to display this video.


Umesahau na makosa ya kibinadamu ya mwamuzi yanayosababisha mpewe penati nje ya box

Lazima tuseme
 
C
naona crap analamba viatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…