mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Zamani hata kabla ya kuja wageni na dini za kigeni waafrika walimwomba Mungu kwa lugha zao na kulikuwa na matokeo ya haraka sana kuliko sasa katika dini za kigeni.
Kuimba wimbo wa taifa kwa Kiingereza au Kireno au Kiarabu au Kifaransa hii ni sawa na kumkosea Mungu heshima, naipongeza Tanzania na Afrika ya kusini kwa kutumia lugha ambazo aliziweka Mungu katika ardhi hizo, hii inamaana ya kumsifu Mungu kwa kazi aliyoifanya ya kutupa lugha zetu yeye mwenyewe.
Kutumia lugha ya wimbo wa taifa la mtu aliye kuuza kama kuku ni kosa kubwa. Ata Mungu anashangaa.
Mtoto wa Mchungaji.
Kuimba wimbo wa taifa kwa Kiingereza au Kireno au Kiarabu au Kifaransa hii ni sawa na kumkosea Mungu heshima, naipongeza Tanzania na Afrika ya kusini kwa kutumia lugha ambazo aliziweka Mungu katika ardhi hizo, hii inamaana ya kumsifu Mungu kwa kazi aliyoifanya ya kutupa lugha zetu yeye mwenyewe.
Kutumia lugha ya wimbo wa taifa la mtu aliye kuuza kama kuku ni kosa kubwa. Ata Mungu anashangaa.
Mtoto wa Mchungaji.