ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Licha ya Tanzania kuwa Nchi ya 5 kwa kuwa na Idadi kubwa ya watu Afrika Ina ni Moja ya Nchi yenye watu wajinga wengi kutokana na kuwa na Vyuo Vikuu vichache sana.
Tunazidiwa Hadi na Uganda na Kenya.
My Take
Kwa takwimu hizo si ajabu tuna ujinga mwingi wa kutegemea miujiza makanisani, kuua albino na kutojitambua.
Adui kubwa wa Tanzania ni ujinga na Kwa mantiki hii, maendeleo tutaishia kuyasikia Kwa jirani.
Pia soma Tanzania ya tano kwa idadi ya watu wengi Afrika. Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika
Tunazidiwa Hadi na Uganda na Kenya.
My Take
Kwa takwimu hizo si ajabu tuna ujinga mwingi wa kutegemea miujiza makanisani, kuua albino na kutojitambua.
Adui kubwa wa Tanzania ni ujinga na Kwa mantiki hii, maendeleo tutaishia kuyasikia Kwa jirani.
Pia soma Tanzania ya tano kwa idadi ya watu wengi Afrika. Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika