ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Thibitisha jinsi gani Uganda ni failed stateNigeria:failed state
Kenya:failed state
Ethiopia:failed state
Uganda:failed state
#quantity doesn't matter quality does.
Kukariri inatokana na wenye usomi wao kutishia usipokariri mambo Yao "wanakushika".Vyuo vyenyewe majanga kufundishwa kukariri tu .
Ukiona kuna nchi 4 za Afrika zinaizidi South Africa kwa wingi wa universities basi ujue wingi wa universities sio dili, dili ni quality ya universities hizo.Licha ya Tanzania kuwa Nchi ya 5 kwa kuwa na Idadi kubwa ya watu Afrika Ina ni Moja ya Nchi yenye watu wajinga wengi kutokana na kuwa na Vyuo Vikuu vichache sana.
Tunazidiwa Hadi na Uganda na Kenya.
View attachment 3065279
My Take
Kwa takwimu hizo si ajabu tuna ujinga mwingi wa kutegemea miujiza makanisani, kuua albino na kutojitambua.
Adui kubwa wa Tanzania ni ujinga na Kwa mantiki hii, maendeleo tutaishia kuyasikia Kwa jirani.
Pia soma Tanzania ya tano kwa idadi ya watu wengi Afrika. Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika
Kwanini umeitumua south Africa Kama kigezo?Ukiona kuna nchi 4 za Afrika zinaizidi South Africa kwa wingi wa universities basi ujue wingi wa universities sio dili, dili ni quality ya universities hizo.
Nigeria:failed state
Kenya:failed state
Ethiopia:failed state
Uganda:failed state
#quantity doesn't matter quality does.