Ni aibu mtu kujiita chawa

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Inawezekana vipi mtu na akili zako timamu uamue kujiita chawa?

Mbona kulikuwa na majina mengi sana ya heshima kwenye jamii?

Hiyo yote ni kutafuta shortcut za kutoboa kimaisha?

Unakubali kuondoa utu wako kiasi unajiita chawa?

Usishangae kwenye hilo kundi kuna wasomi kabisa wanajiita chawa!

Watanzania tubadilike maana majina yapo mengi mazuri na yenye heshima jamani.

 
Yaweza kuwa ni ile timu umoja ambayo inamhujuma,ila inajificha kwenye neno chawa🤔.Hata siiwaamini ,uchawa umeficha mengi ndani yake 🤔
 
Yaweza kuwa ni ile timu umoja ambayo inamhujuma,ila inajificha kwenye neno chawa[emoji848].Hata siiwaamini ,uchawi umefichua mengi ndani yake [emoji848]
Kuna uwezekano ndugu
 
Aisee wewe "Mmawia" ndo unakula chochote kilicho mbele yako
 
Endelea na aibu zako. Maisha yanaendelea pia kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…