Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Napata mashaka sana kama kweli kuna viongozi wa mpira hapa bongo, ukiona hivyo wanajiandaa kufanya siasa, kama mnakaa kukataa magoli ya penati basi ligi kuu ya soka nchini ni ya kufuta na tuendelee kushabikia ligi za ulaya tu