Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hizi ni dalili za mtu aliyekata tamaa. Tulia classmate. Muda utaongea.Wampe basi mayele maana kaanza taarabu kama isha mashauzi
Angekuwa kama kagere nahisi angetoa wimbo wa taarabu kbsa
TFF kipindi ligi ya msimu uliopita inaelekea ukingoni walisema kabisa magoli ya penati yana point chache, so msimu huu naona wanaona aibu kutumia kanuni walio itumia msimu uliopita.Napata mashaka sana kama kweli kuna viongozi wa mpira hapa bongo, ukiona hivyo wanajiandaa kufanya siasa, kama mnakaa kukataa magoli ya penati basi ligi kuu ya soka nchini ni ya kufuta na tuendelee kushabikia ligi za ulaya tu
Acha bangi wewe...Sasa kwani nyie mlitakaje? Hata wakiweka hilo goli la penati tuje kwenye kigezo changu mimi hayo magoli 17 aliyofunga yameipeleka wapi timu yake? Huyu mwingine magoli yake yamesaidia timu yake kukusanya makombe. Anywys hizo ni kanuni kama zile zilizoamua ubingwa wa USMA mkashangilia. Hahaa
Umeambiwa kanuni zilibadilika unakazania ya mwaka jana.TFF kipindi ligi ya msimu uliopita inaelekea ukingoni walisema kabisa magoli ya penati yana point chache, so msimu huu naona wanaona aibu kutumia kanuni walio itumia msimu uliopita.
Haya ngoja tuone,so kanuni hawaja tunga mpaka hivi sasa,ila msimu uliopita walitunga kabla ya ligi kuanza kwa ligi, hii ndio ligi yetu.
Sasa kanuni ya mfungaji bora ndio inaenda kutungwa ndani ya wiki hii moja sio ndio maana yake. Yaani bongo kuna kamati mpaka ya kudiscuss mfungaji bora msimu huu.Umeambiwa kanuni zilibadilika unakazania ya mwaka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
Goli la penati ndio lililowapeleka Ikulu kula ubwabwa ila leo hawalitaki.Eti wanasema goli la penati halina thamani mbona likifungwa ni point tatu zile zile.
Unaacha kujadili hoja ya msingi unachangia ujinga.sio lazima kila mara tuweke ushabiki mandazi.Sasa kwani nyie mlitakaje? Hata wakiweka hilo goli la penati tuje kwenye kigezo changu mimi hayo magoli 17 aliyofunga yameipeleka wapi timu yake? Huyu mwingine magoli yake yamesaidia timu yake kukusanya makombe. Anywys hizo ni kanuni kama zile zilizoamua ubingwa wa USMA mkashangilia. Hahaa
Kanuni na sheria zilibadilika, ila hazikuwekwa wazi,Sasa kanuni ya mfungaji bora ndio inaenda kutungwa ndani ya wiki hii moja sio ndio maana yake. Yaani bongo kuna kamati mpaka ya kudiscuss mfungaji bora msimu huu.
Nakazania ya msimu uliopita sababu ndio iliyopo.