Ni aibu sana kwetu waafrika huyu kijana aliyezaliwa UK akiwa na wazazi Baba Mjamaika na Mama Mscotishi anaijua historia yetu zaidi yetu

Mbase1970

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
6,054
Reaction score
4,604
Mwanamuziki na mpigania haki za watu weusi Mwingereza Akala anajaribu kuchambua maendeleo yaliyofanywa na waafrika kabla ya ukoloni. endelea kuitazama Lecture yake aliyoifanya Oxford




 
Unamshangaa huyo?Kuna Mjamaica mwingine alikuwepo aliitwa Walter Rodney.Aliijua Afrika haswaa...ila sisi Watindiga tupo tupo tu, tuko busy na Diamond Putnam wetu.Hovyo sana.
 
Sasa ukisikia kuna wazungu waligundua ziwa Victoria, mlima kilimanjaro n.k. na sisi tupo hapa hapa si ndiyo utachanganyikiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…