Ni aibu sana mkorogo ukidunda

Ni aibu sana mkorogo ukidunda

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,556
Reaction score
2,571
Kapita mdada huyo amejikiroga koroga na mikorogo amebabuka kama kababu aisee nimerudi nyumbani nimeshindwa kula hata nyama. Hivi nani kawaambia mkijibabua ndo tutawapenda kwanini hamthamini rangi yenu ya asili mpaka mnajidhalilisha namna hii.

Unakuta mdada ana karangi kazuri tu cha kiafrika anaona kama hapendezi anaenda kujirundika micream ya ajabu hadi anakuwa kama vampire. Naomba tuwaambie tu kwamba sisi hatupendi hizo rangi za kubushi tunataka original colour kwaio msijisumbue aiseee hii sasa too much daaah.

Wewe dada uliyepita mida ya saa 4 pale maeneo ya makumbusho mbele kidogo ya tropical naomba tu nikuambie ulivyopita watu walikuwa wanakucheka na hiyo mikorogo yako bora uachane nayo tu.
 
Na Ikumbukwe always black is beautiful hawaon wenzao wanigeria mkuu hata kwap. La mnaigeria nizur kuliona mkuu
 
Unakuta vidole vya miguu na mikono vyeusiiii na kamchubuko fulani hivi kekundu kanitiaga kinyaaaa.
 
Ww nakujua vzr, ww n African pretty gal. Hata ukipiga upara ww unapendeza tu, yani hata ukinyoa huna chogo kama nani akitoa wigi lake😆😆😆
😀😀 Apiah!!
 
Kapita mdada huyo amejikiroga koroga na mikorogo amebabuka kama kababu aisee nimerudi nyumbani nimeshindwa kula hata nyama. Hivi nani kawaambia mkijibabua ndo tutawapenda kwanini hamthamini rangi yenu ya asili mpaka mnajidhalilisha namna hii.
Unakuta mdada ana karangi kazuri tu cha kiafrika anaona kama hapendezi anaenda kujirundika micream ya ajabu hadi anakuwa kama vampire. Naomba tuwaambie tu kwamba sisi hatupendi hizo rangi za kubushi tunataka original colour kwaio msijisumbue aiseee hii sasa too much daaah.
Wewe dada uliyepita mida ya saa 4 pale maeneo ya makumbusho mbele kidogo ya tropical naomba tu nikuambie ulivyopita watu walikuwa wanakucheka na hiyo mikorogo yako bora uachane nayo tu.
Et kam vampire dah, Tulia na yako we nani kakwambia umwangalie?
 
Back
Top Bottom