Diamond katoa nyimbo 2 mwaka 2016 ambazo ni Kidogo na Salome, Alikiba katoa nyimbo 4, Aje, Unconditional bae(wimbo wa pamoja na Sauti Sol), Lupela na Kajiandae (wimbo wa pamoja na ommy), una swali Dada?Tehteh diamond bana.... Wimbo 1wa kiba Povu beseni zima je angetoa na nyigine c mngekufa na presha?
yani aje kwa ngoma 3za chibu lkn aje bado iko juu.
Lol
Pole na hapo n miaka3 alkua kaacha mzikiJe kajiandae alioshirikiana na ommy, na lupela kumbe cyo zake au kwa kuwa zimebuma mnazikataaa
Amesaau neyo na papa wembaDiamond katoa nyimbo 2 mwaka 2016 ambazo ni Kidogo na Salome, Alikiba katoa nyimbo 4, Aje, Unconditional bae(wimbo wa pamoja na Sauti Sol), Lupela na Kajiandae (wimbo wa pamoja na ommy), una swali Dada?
Kwenye hiyo Video hawaongei watu kabisa!?Millard ayo ana full video ya maelezo ya waaandaji usipend kuwasikiliza watu
kidogo na salome........kajiandae ipo wapi au kwa kuwa imebumaPole na hapo n miaka3 alkua kaacha mziki
Kuanza aje chibu katoa ngoma ngapi? ndan ya lifetime ya aje...
Achana na za kushirkishwa
ya papa wemba siyo ya mond na kwa taarifa yako ndo nyimbo namba moja congo japo hata haikuwa na promoAmesaau neyo na papa wemba
Promota alisema watu walibaki wachache ukumbini hivyo ikaahirishwa. Au wewe unadhani K hakufika kabisa ukumbini!!?Huyu hana app ya Millard ayo,msidie kwanza halaf akiona yule promota akiongea atakuja kutuomba samahan
Ingia YouTube Millard ayo ka wahoji waandajiKwenye hiyo Video hawaongei watu kabisa!?
show watu walikuwa wachche sana afu show yenyewe inapigiwa barPromota alisema watu walibaki wachache ukumbini hivyo ikaahirishwa. Au wewe unadhani K hakufika kabisa ukumbini!!?
Hao wa YouTube sio watu!? Kwakuwa umesema nisipende kuwasikiliza watu!! By the way hakuna la ziada zaidi ya kusema Show iliahirishwa kutokana na uchache wa watu. Japo sijui imeahirishwa mpaka lini...Ingia YouTube Millard ayo ka wahoji waandaji
Thank you at least you have shown me your perspective isn't to gain anything but to portray you know everythingHao wa YouTube sio watu!? Kwakuwa umesema nisipende kuwasikiliza watu!! By the way hakuna la ziada zaidi ya kusema Show iliahirishwa kutokana na uchache wa watu. Japo sijui imeahirishwa mpaka lini...
Si mbaya..... bora anaufanyia kazi ushauri tunao mpa. Ajitume, aachane na K K K
Unaongelea tuzo zama hizi.?Umavurugwa na tuzo za King kiba
Tofautisha wemba ft diamond na wemba x diamond. Labda na hyo ya neo ndio zinakuwa 3 bt alikiba hizo ambazo jamaa kazitaja ni ...... x alikiba not. ......ft alikiba.Amesaau neyo na papa wemba
Kawadanganye Dada zako sawa??!Diamond unamuweka na davido, tecno, wizkid, A.K.A nk kumuweka na ally kiba ni kufanya makosa makubwa maana kiba ndo anaanza kuchukua tuzo alizoanza kuchukua mond 2012, kwa kifupi kuna distance kubwa kutoka kiba mpaka kumfikia mond pia kuna utofauti mdogo sana kati ya msanii kama mavoko na kiba.
Nimekumis... Ni furaha nimekuona uzini '017[emoji5]MFA MAJI
Kidogo ilitoka mwaka gani ?Diamond katoa nyimbo 2 mwaka 2016 ambazo ni Kidogo na Salome, Alikiba katoa nyimbo 4, Aje, Unconditional bae(wimbo wa pamoja na Sauti Sol), Lupela na Kajiandae (wimbo wa pamoja na ommy), una swali Dada?